Kuna wanaomuona Amunike kama mkombozi wetu kwa sababu anetupeleka Afcon baada ya Miaka 40.Hivyo aachwe tu afanye akipendacho.
Wazo la pili Amunike ni kocha Asiye sikiza mawazo ya watu.
Mimi binafsi naungana na wazo la pili kwa ni kocha mwenye chuki na mbinafsi sana.Ukweli hatuwezi kusema...
Bond ya bil 20 sijaona imefanya chochote hd leo.30/6/2019 ni siku ya mwisho kuwasilisha majina Caf.Hadi leo simba haijasajili mchezaji wa nje.James kotei jatima yake haijulikani, Haruna kimy hd leo mtasajili lini na bado zimebaki siku kumi.
Tunasikia danadana tu ya akina bwalya na moon kama huyo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.