Recent content by Booker T

  1. B

    USA yaja na madai mapya dhidi ya Iran

    Waarabu ni wanafiki sana. Saudia anawanyonga washia kila leo na USA anaona na wala afanyi chochote.
  2. B

    Kuna mawazo ya aina juu ya Amunike.

    Kisa kacheza barcelona
  3. B

    Kuna mawazo ya aina juu ya Amunike.

    Siyo lazima samata acheze dk zote hata kama hana tija.ahadi yusuphv.akina mandawa wapo pale.
  4. B

    Kuna mawazo ya aina juu ya Amunike.

    Anawaacha akina mkude.ajibu nk
  5. B

    Kuna mawazo ya aina juu ya Amunike.

    Anatuona maboya Embu ona Rais wa ghana aliingia kadi gian kujiondoa kikosini baada ya kunyang'anyw unaodha aliongea na gian na kocha pia
  6. B

    Kuna mawazo ya aina juu ya Amunike.

    Nimekusoma mkuu.
  7. B

    Kuna mawazo ya aina juu ya Amunike.

    Kuna wanaomuona Amunike kama mkombozi wetu kwa sababu anetupeleka Afcon baada ya Miaka 40.Hivyo aachwe tu afanye akipendacho. Wazo la pili Amunike ni kocha Asiye sikiza mawazo ya watu. Mimi binafsi naungana na wazo la pili kwa ni kocha mwenye chuki na mbinafsi sana.Ukweli hatuwezi kusema...
  8. B

    Itakuwa Simba ya ajabu!!!!

    Sawa kiongz
  9. B

    Itakuwa Simba ya ajabu!!!!

    Dont mention boy
  10. B

    Itakuwa Simba ya ajabu!!!!

    Inshaallah
  11. B

    Itakuwa Simba ya ajabu!!!!

    Sw mm mwekundu pia
  12. B

    Itakuwa Simba ya ajabu!!!!

    Sawa kiongozi mm ni mwekundu mwenzako lkn embu tusubir saa 7 leo.
  13. B

    Itakuwa Simba ya ajabu!!!!

    Robo ya wachezaji mikataba ilishaisha mbina hawajapewa mikataba mipya
  14. B

    Itakuwa Simba ya ajabu!!!!

    Sawa lkn mbona akina james kotei hakijaeleweka
  15. B

    Itakuwa Simba ya ajabu!!!!

    Bond ya bil 20 sijaona imefanya chochote hd leo.30/6/2019 ni siku ya mwisho kuwasilisha majina Caf.Hadi leo simba haijasajili mchezaji wa nje.James kotei jatima yake haijulikani, Haruna kimy hd leo mtasajili lini na bado zimebaki siku kumi. Tunasikia danadana tu ya akina bwalya na moon kama huyo...
Back
Top Bottom