Habari wakuu,mi ni mfanyabiashara mdogo kariakoo natumia kitambulisho cha mfanyabiashara.
Biashara yangu ina wateja wengi kiasi kwamba mzgo naokuwa nao hautoshi nimefikiria kwenda kukopa bank niweke dhamana nyumba ila nyumba iko mkoani.
Naomba kwa yeyote anaefahamu kuhusu mikopo anipe muongozo...
Mimi ni mmoja kati ya loan beneficiaries wa mwaka 2015/16 ila swali langu ni kwamba lini hizo pesa zitakuwa deposited kwetu sisi wahusika coz wengine tunazitegemea hizo ili twende chuo na vyuo tayari vishafunguliwa wengine bado tuko nyumbani kwa tatizo la ukosefu wa pesa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.