Wadau hatimaye nimevuna rasmi heka 30 zangu..lindi,matokeo uamekua tofauti kabisa pamoja na jitihada zote 1.5tons badala ya 11tons..bei zinazidi kushuka,matokeo mabovu yamechangiwa na jua kali. Aluta continua.
Inategemea lakini ni umakini wa mpandaji kawaida mbegu 4,5 mpaaka 6 akiweka nyingi unaota kama mchicha baadae unaingia gharama kubwa ya kupunguza idadi ya miche.
Use 70/20 percent rule....kama ujuavyo transport inatuexpose kwenye biashara nyingi sana kazi ipoo kuzifanyia fursaa..tunabebeshwaa mizigo mingi sasa why ubebee muda wotee ifanyie kazi value chain ya transport
Mtanganyika nimekupa hint hapoo ya 70%utilization by ur own usage,ifanyie kazi na utaona mabadiliko makubwa sanaaa,transpoters wana mitaji mikubwa lakini hawajitambui
Angalizo tuu wadau sina shaka na mahesabu za magari haswa malori aina ya tipper,tatizo kubwa la biashara hii ni maintanance cost ziko juu sanaa,unaweza pokea hesabu ya miezi mitatu kwa faida lakini mwezi wa nne ikala yote na kukopaaa juu,achilia mbali spare fekii na tabia za madereva...
Pia nadhani muda si sahihi jaribu kujipanga msinu ujao G3T,kilimo kinahitaji maandalizi makubwa kabla ya kupanda....kuliko inavyodhaniwa ushauri wangu nendaa maeneo yenye mvua za kutosha Lindi, Sumbawanga, Manyara
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.