unawajua wa asia wewe ndugu yangu, unakuta mtu kaweka fulani ataapoigwa round ya 4 ka place usd millions 5 anajua navuna usd millions 10, wewe kupewa usd 300,000 anaona shida gani
viatu hadi interview ya kufeki kulia alikuwa kavivaa, intervuiew ya kwanza alikuwa anacheka kabisa baada ya kujua reaction hadi ya mshindi ni mbaya na mashabiki wamekasirika ikabidi ahojiwe huku anajiliza
sasa begi lilipotea siku 4 nyuma walishindwa kununua vingine? kwamba waliambiwa wasubiri...
kauza gemu mkuu hela ya kupigana ni usd 100,000 watu wa betting unajua wanatoaga ngapi haswa wale wa asia? tena unaambiw around ya 4 anguka, hata mshhindi alibaki kaduwaa,wachambuzi wa sky wamesema jamaa alifanya makusudui, comments za mashabiki ni kwamba hawataki tena jamaa apewe pambano huko
hauna haja ya kusingizia wewe ni simba ili ku make point yako boss wangu, outarra,okwa,okrah, akpan, kiyombo,kapama...hela imelipwa hapo
halafu hoja ni kuhusu umbeya wa wazungu na wabongo kumsaliti Barbara na kumsema vibaya kwa makanjanja ya nje ya nchi sasa kupata wachezaji wa bure kunahusiana...
NAFIKIRI simba imenunua wachezaji wengi cash kuliko yanga mwaka huu,jibu kwa fact ukitoa ki azizi nani kanunuliwa pale?
Halafu mada inahusu backstabbers na wambeya wenye ngozi za kizungu na wabongo wengine wanaoanika chupi za simba kwa makanjanja ya kimataifa
wapi nimesema lolote kuhusu maisha ya mtu? nazungumzia yupi aliyefanikiwa baada ya kutoka simba, ndugu yangu nimeleta hii mada kuhusu umbeya una o leak , hao wazungu najua hamuamini kama ni backstabbers na wambeya lengo ni kutaka Barbra aYAjue haya kama alikuwa hajui
ungejibu hoja boss wangu.... wazungu wambeya wana leakisha tu mambo ya management ya simba nje nje hadi south africa wanajua kilichofanyika hata leo mchana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.