Sijui unatokea kata ipi lakini ungejua namna ambavyo misikiti imepata maji kutoka kwa Gwajima wala usingeshirikisha waislamu wenzio kwenye hili. Waislamu wako tayari kumchagua kiongozi aliyewaletea maji na msaada hata kabla ya kuwa mbunge
Nilishangaa kuona sera za mdee ni matusi na dharau, kiukweli sio sifa za kiongozi kutumia lugha chafu mbele za watu unategemea kuwaongoza, miaka 10 imetosha, mdee pumzika mtumishi akusaidie
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.