Recent content by Bona wa Bona

  1. B

    Mikopo ya vyuo tayari. Semeni lingine tena tuone

    Poleni sana mliokosa mikopo ila kuweni na SUBRA msikate tamaa......
  2. B

    Second selection Kidato cha Tano 2015/2016

    Shule hiyo ya kimamba naipata vizuri ni mpya imeanzishwa mwaka huu kwa upande wa advance na ina comb za sayansi tupu....(PCB,PCM na CBG) hipo kilosa kimamba..
  3. B

    form 6 kufanya mtihani mwezi pili na si wa wa tano...?

    Mtoa taarifa tunaomba uhorodheshe vyanzo vya habari ulivyo tumia kupata taarifa hizi usilete huongo....ili na sisi tufanyie kazi..
  4. B

    form 6 kufanya mtihani mwezi pili na si wa wa tano...?

    Aisee kuna washikaji wameshaanza kupanic kama kuna mtu anahufahamu zaidi ni vyema kutujuza ....
  5. B

    Post za kidato cha tano 2015/2016

    Usijali kijana post zitatoka tu mwez wa 6 kama tulivyo fanyiwa ss mwaka jana we vumilia tu...
  6. B

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    Unafundisha shule gani hapo Nachingwea.....??
  7. B

    Majina ya Waliochaguliwa Kidato cha Tano (Awamu ya Pili)

    Naombeni msaada kuhusiana na shule ya Nachingwea high school maana nasikia ndio mwaka wa kwanza huu kuchukua kitado cha tano
  8. B

    Selection Kidato cha Tano 2014/2015: Majina yote haya hapa

    Daa!! nimepata dv 3.28 alafu nina C-7 na F-1 ya math lakini sijachaguliwa wakati kuna wanafunzi ambao nimemaliza nao wamepata dv 3 ya28,29,30 na wamechaguliwa inaniuma kwakweli!!! Napenda kuuliza second selection watazitoa kweli na itakuwa mwezi wa ngapi...??
  9. B

    Post za kidato cha tano kwa mwaka wa masomo 2014/2015

    hawawezi wakatoa post kwa sasa wakati wengine wamepata dv1,2 and 3 na wanataka kwenda uwalimu,kwanza wapangiwe vyuo watakao kwenda kusomea uwalimu kisha watatoa post zote za vyuo na za advance msiwe na haraka hii ndio TZ bana
Back
Top Bottom