Shule hiyo ya kimamba naipata vizuri ni mpya imeanzishwa mwaka huu kwa upande wa advance na ina comb za sayansi tupu....(PCB,PCM na CBG) hipo kilosa kimamba..
Daa!! nimepata dv 3.28 alafu nina C-7 na F-1 ya math lakini sijachaguliwa wakati kuna wanafunzi ambao nimemaliza nao wamepata dv 3 ya28,29,30 na wamechaguliwa inaniuma kwakweli!!!
Napenda kuuliza second selection watazitoa kweli na itakuwa mwezi wa ngapi...??
hawawezi wakatoa post kwa sasa wakati wengine wamepata dv1,2 and 3 na wanataka kwenda uwalimu,kwanza wapangiwe vyuo watakao kwenda kusomea uwalimu kisha watatoa post zote za vyuo na za advance
msiwe na haraka hii ndio TZ bana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.