usiponunua unadhani kampuni itakufa.ovyooo. unajua chanzo cha kuanzishwa kwa kanisa la luthelan? Unachukia mtu kwa kukaririshwa.thibitisha ufisadi wake bila kuacha shaka yoyote.
Makosa na dhambi zipo.lakini hazina nguvu pindi mtu awaye yote akigundua makosa na dhambi zake akaungama kwa siri au kwa uwazi.umesahau Bunge maalumu liliruhusu upigaji kura uwe wa aina mbili katiba ikapita kwa mdundiko.ikaishia palepale machinjioni Dodoma
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.