Ninajitokeza hapa nina nia ya dhati na kweli kutoka moyoni nimejitokeza hapa natafuta mke wa maisha mwenye HIV Positive, siitaji mpenzi naitaji mke!
Napatikana Dar es Salaam, nina miaka 52, maji ya kunde, urefu futi tano inchi saba, slim body.
Mke ninayemuitaji awe HIV Positive! Awe mweupe...
Wanafunzi wa shule za sekondari za GOGONI na HONDOGO huwezi kuamini hawana usafiri salama wa kuwapeleka shule isipokuwa husafiri uliokuwepo ni bodaboda tu!!
Shule hizi jirani ziko mkoa wa DAR ES SALAAM wilaya ya UBUNGO,KATA YA KIBAMBA mtaa wa GOGONI ziko umbali wa kilometa 2.5 kutoka barabara...
Kiukweli nimechoka na upweke na upweke unaniumiza sana,nipo hapa kutafuta mke awe mwenza wangu wa maisha mimi ni mwanaume wa miaka 48-55 mwanamke mwenye nia thabiti na mwenye ukweli karibu sana
Natafuta MWANAMKE Anaeumizwa sana na kusumbuliwa mno na MAISHA YAKE YA UPWEKE WA KUWA MWENYEWE PEKE YAKE NA SASA AMECHOKA KABISA NA HALI HIYO NA SASA ANAITAJI MUME WA MAISHA YAKE.Mimi pia nasumbuliwa sana na hali hiyo!hivyo kunifanya nimtafute mwanamke mwenye hali hii,ili awe mke wangu wa maisha...
Habari ya hapa!!miaka yangu 48,jinsia mwanaume,nimejitokeza hapa kutafuta kazi ya kuhudumia mgonjwa/wagonjwa wenye ugonjwa wa Ukimwi mawasiliano yangu ni Bomanyano@gmail.com au simu namba 0656186502 ahsante
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.