Yaani ukishakuwa kada wa CCM (haijalishi Wewe ni mwizi ana nani....) utakukumbatiwa na CCM kwa maovu yako yote. Ila uwe mpinzani shughuli unayo! Unakumbukwa TWAWEZA walimsifiaga jiwe kipindi fulani kuwa % kubwa ya idadi ya watu wanamkubali? Jiwe alifurahi sana, ila TWAWEZA waliposema umaarufu...
Ewe jiwe wanatekwaa ndugu zetu wengine wawapotezwa kisa kukosolewa!! Unawabambikia wapinzani kesi kila mara ili huiridhishe roho yako!!. Ila mungu atakufedhehesha siku moja.Kumbuka hautaishi milele,😄😄😄😄 machungu unaowapa watz wenzio Mwenyeenzi Mungu atakupa Mara mia pamoja na genge lako lote la...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.