Mnashindwa kumuelewa tu rais hata kwenye mikutano mikubwa watu wanaongea lugha za nchi zao then kunakuwa na kitafusiri ambacho kinabadilisha lugha so bado yupo sahihi
mwenyekiti wa sasa anogopa kutmbuliwa kwani kama nina kumbukumbu viuzuri JPM alisha wai kusema kwamba ccm ya JMK inawanachama ambao ni wanafiki sasa akahaidi ni mara kumi abaki na watano ambao sio wasaliti sasa wanaogopa kumpa rungu
police wa wetu technologia kama hizo hataki kuzitumia kwani itawapunguzia miaanya ya rushwa then angaliaa tu hizo tochi walizopewa matumizi yake wanajificha porini sehemu ambayo hakuna kibao cha kulimit speed then unaenda kusimamishiwa mbele unaambiwa ulikua unakimbia speed ya juu nionyeshe...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.