Chagua Magufuli mara Serikali ya Magufuli itakua ya viwandaa.. siyo Chagua CCM tena anajua ukiwatajia watu CCM wanaondoka kwenye Mikutano.. ha ha ha haaa... Mwenyekiti kaua chama chetu CCM.
Twaweza wamefadhiliwa na Maccm hakuna cha utafiti wala nn maccm yanatapatapa kwenye kambi yao ya kampeni kimenuka sasa wanatafuta tafiti za kujipa moyo... hatudanganyikiii.tuonane October 25 Ukawa hawatahangaika na hizo tafiti uchwara.
Uharisia gani uliyo uona ww Hao twaweza mbona issue yao imejulikana wazi ndugu yangu upo Dunia gani mulize January Makamba a.k.a JM au soma Mawio la week iliyopita utapata habari zote hata kabla hao Twaweza hawajatoa huo upuuzi wao ilishakua wazi. CCM wanahaha kujiokoa lakini kilichoandikwa na...
Hayo uliongea ww nyumbani kwako, Lowassa aliongelea mashehe wa Zanzibar kuwa wanasheria watangalia upya mafaili yao kama walifungwa kwa ushahidi uliokamilika ndiyo watu waliokuwa kwenye mkutano wakasema na Babu Seya ndiyo akakubali kuwa hata huyo watafuatilia, ongea vitu vya kukusaidia cyo...
Nadhani umekosea kidogo tu, sahihisha hapo ni kwamba wezi hawawezi kuhama ccm sababu wanaogopa kushtakiwa ila wakibaki ccm wataendelea kulindwa coz ccm ndiyo pango la wezi, wafi wasio na shaka kama Lowassa na Sumaye wamehama na hawajafanywa chochote.
Dr Slaa ni mbinafsi sana, ameshindwa kujizuia kahongwa kilahisi sana, Chadema hatukumjua mapema kumbe alikua anakihujumu chama mda mrefu sana hafai hata kuwa jirani yako mnafiki mkubwa kanisa langu Catholic hawakukosea kumfukuza hawezi kuwa mchunga kondoo wa Bwana.
Magufuri yeye vipaumbele vyake ni barabara tu kila anakokwenda nitawajengea barabara hata kwenye ziwa nyasa ameahidi atajenga barabara juu ya ziwa hana tofauti na mkuu wa kaya alikua anahidi meli kila sehemu, bara bara kashindwa miaka yote 15 amekaa wizara ya ujenzi unahidi leo tumeshtuka.
Hebu jamani someni report ya Mwakyembe inamumbua mwenyewe hakuna sehemu hata moja alisema waziri mkuu kausika moja kwa moja na rechmond, alisema waziri mkuu atapima mwenyewe uzito kwa sababu watendaji walio chini yake wanahusika na mkataba huu mbovu tena akaongeza kuwa mambo mengine ameyacha kwa...
Huyu mzee Warioba ndiyo maana Makonda alimchapa kibao, Ukawa wameipigania rasimu yake ya katiba hadi wabunge wa Ukawa wakaacha posho zao leo nimemuona hapo jangwani anaongea utumbo mtupu...Huyu mzee sijui kajichanganya vipi.
pole pole kapoteza mvuto tena kwa uma wa watanzania, amesahau kama UKAWA walijitoa kwenye Bunge la Katiba kwa ajiri ya kutetea rasimu yao na Walioba leo kawageuka yupo upande wa kijani. Hela kitu kibaya sana.
pole kwa kuchoka ndugu yangu siasa ni dynamic unatumia udhaifu wa adui yako kupata ushindi, ni kama mpira kuna mchezaji anaweza asifanye vizuri lakini mchezaji huyo huyo akahamia team nyingi akafanya vizuri kulingana na mfumo atakao ukuta huko alikohamia so I hope atafanya vizuri sana Chadema...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.