Recent content by Boay Hotay

  1. Boay Hotay

    Pamoja na kuzunguka nchi nzima, lakini kumbe Peter Msigwa alikuwa anatumiwa na CCM kama karai tu

    Msigwa umetumiwa kama karai so Nakushauri rudi CHADEMA ndiyo thamani yako ilikopandishwa
  2. Boay Hotay

    GE2025 Unayejaribu kutoa fomu mbili jitazame hatutanii siye

    Taifa haliongozwi Kwa mipasho so mkitaka anguko watu waruhusiwe kichukua fomu ya kugombea urais wazunguke bara na visiwani kutafuta wadhamini
  3. Boay Hotay

    Mitandao wa FACEBOOK na YOUTUBE ina shida muda huu. Hii ni sababu ya SIASA au ni nini?

    Aliyezoea kufanya Mambo Haram gizani kama Shetani hawezi kuruhusu mwangga umulike uonae what's going on there
  4. Boay Hotay

    Ikiwa CCM ilikiuka katiba yake, Ofisi ya msajiri wa vyama vya siasa imechukua hatua gani?

    Office ya msajili ipo bize kupambana na CHADEMA kuinyima ruzuku, kujfingulia kesi za mchongo , kuwanunua baadhi ya makada kwenda Chauma, kuchochea Kesi ya uhaini Kwa. Lisu
  5. Boay Hotay

    Msaada wa kukutana na Chaaba na Dudukwe

    Nenda wilaya Karatu kata ya Mangola gorofani fuata barabara ya kwenda Endabash karibu na Mto Baray utawakuta , au kama una usafiri wako twende nikupeleke hadi kambini kwao
  6. Boay Hotay

    Ila kuna watu wana machozi ya karibu

    Huyu tayari kashaliwa kichwa aje aungane na wakunja ngumi aNo reform No election
  7. Boay Hotay

    Huyu kwangu ndiye Mwanasiasa Bora Mwanamke nchini Tanzania kwa sasa

    Nikimsikilizaga huyu Mama naona ana akili njema na Moyo wa dhati kupatikana Kwa Tanganyika Bora Nampenda na ni mfano wa kuigwa
  8. Boay Hotay

    Luhaga Mpina ni ama anamwamini sana Mungu wa mbinguni au anaamini sana Uchawi lakini siyo Vuguvugu, jamaa kagoma kabisa kuwa Chawa!

    Awamu hii ponjolo Na Gwaji boy wanapambana Jimbo la Kinondoni nani atachukua jimbo
  9. Boay Hotay

    Ikitokea TEC na Gwajima wakashirikiana, kishindo chake kitakuwaje kuelekea uchaguzi Mkuu?

    Itakuwa kama kishindo cha wakoma Cha kumtoa mkoloni mamboleo
  10. Boay Hotay

    Kikwete atetea marekebisho ya Sheria ya Uchaguzi wa Rais, Wabunge na Madiwani

    Mr. JK tuambie ukweli kama marekebisho yalifanyika tangu 2022 kwaniini wagombea wa upinzani Wakati wauchaguzi wa serikali za mitaa 2024 Wameenguliwa kinyemera
  11. Boay Hotay

    Askofu Gwajima aibukia kwa Padre Kitima kumjulia hali. Wapiga picha pamoja

    Mimi nimefurahi sana kazi Bwana inaenda Mbele Tanzania mpya yenye nguvu inakujaaaaaa
  12. Boay Hotay

    Mzee wa Upako aibuka, awaka serikali kufungia makanisa, asema 'vile mnavyowavumilia wakatoliki na hao muwavumilie vilevile'

    Jambo ambalo Samia ni kuamuru Kanisa la ufufuo na uzima lifungwe litawacost sana hili jambo
  13. Boay Hotay

    PreGE2025 Jeshi la Polisi: Tuliimarisha na kuweka ulinzi mkali Kisutu kutokana na matishio ya kiusalama na vitendo vya uhalifu

    Yupo wapi Hilda Newton aliyechukuliwa na waovu ndani ya mahakama ya kusutu
Back
Top Bottom