Dafi njaa mbaya, lazima umpambe bosi wako ili mkono uende kinywani. Unajua ukweli kuwa mgombea wako hauziki, hata jimboni kwake hana uhakika wa kushinda tena!!
Kitila atendewe haki, huwa anaikosoa CCM na wapinzani pia. Tatizo watanzania tunapenda zaidi kusikia vile tunavyovitaka sisi. Tukubali au tukatae Kitila ni mtu potential sana ktk nchi yetu!!
BARUA YA WAZI KWA MWL NYERERE!!
Ndugu Kambarage,
Nakusalimu katika jina la Tanzania. Nchi ya maono na busara yako, nchi uliyoifanya kuwa kimbilio kwa wageni na wenye shida huko kwao. Nchi uliyotamani siku moja iwe ni Taifa kubwa linalo thamini kila kiumbe hai akaaye katika uso wa dunia...
Amina mkuu! Wahafidhina lazima tupingane nao kwa kila njia, hakuna mwenye hatimiliki ya CDM hiki ni chama cha watanzania wote. Hatuhitaji madikteta wanojivisha joho la demokrasia.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.