Recent content by BMT

  1. B

    JamiiForums Tanzania Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM(NEC) imeridhia ombi la Ndg. Abdulrahman Kinana kustaafu wadhifa wa Katibu Mkuu wa chama

    Ndg yangu Nape najua una uchungu sana na Ccm uliyoipigania Kosa lenu/lako ni chuki mliyokuwa mumeibeba muda mrefu na vinyongo vya ajabu kwa bahati nzuri unajua rafu zote na hira zako Sasa unajuta, bila unafiki hukumpenda Magufuli na bado humpendi Usipokuwa makini 2020 utasaulika kabisa labda...
  2. B

    JamiiForums Tanzania Nani anafaa kumrithi Makonda Dar es Salaam?

    Mimi ninao uwezo tena mkubwa Tatizo sijapata nafasi ya kuonekana ila uwezo ninao Najuhakikishia ilo
  3. B

    JamiiForums Tanzania Askofu Dr Benson Bagonza: Hatuna duka linalouza hekima ukiwa mwizi ujifunze na kukimbia

    Huu ujumbe ni mwiba kwelikweli kama si msumari w bati basi wa inch 4 wapendwa
  4. B

    JamiiForums Tanzania UTEUZI: Rais Magufuli ateua Majaji 10, Naibu DPP, Naibu DAG, Wakili Mkuu wa Serikali na Naibu wake

    Wengine wanaamka vizri jmani Na mvua yote hii mtu anaamkia ofisi yenye kiyoyozi kesho Hapa kazi tu
  5. B

    JamiiForums Tanzania Nimeamini CHADEMA ni chama cha kiungwana

    Walimdharau mno Kikwete Sasa wamepata mbabe mwenzao Kwahiyo hapo ngoma ni droo Kipindi mjue ni halftime sasa sijui itakuwaje full time
  6. B

    JamiiForums Tanzania Rais Magufuli anatarajiwa kuipokea ndege ya ATCL iliyokuwa inashikiliwa Canada uwanja wa ndege(JNIA)

    Hata mimi ndo ningekuwa rais Ningekwenda mwenyewe kuzipokea Rais ni taasisi Anajua anachofanya Tumvumilie
  7. B

    JamiiForums Tanzania Nimeamini CHADEMA ni chama cha kiungwana

    Si waungwana ila wamedhibitiwa kikamilifu na vilivyo Halafu wanasaidiwa kutoka siasa za kiharakati kwenda siasa za kistaarabu
  8. B

    JamiiForums Tanzania Tundu Lissu: Mawakala wa mabwanyenye waliosababisha ndege yetu ikamatwe Canada ni akina nani hasa? Ukweli huu hapa

    Nimeamua kuulinganisha waraka huu na ule wa mwandishi mstaafu toka Iringa *nimebaki kuchanganyikiwa*
  9. B

    JamiiForums Tanzania Cyprian Majura Musiba ni nani na anatumwa na nani?

    Kwa kifupi sana Baba yake alikuwa ni moja ya wazee aliyekuwa na uwezo Kwa miaka hiyo kijijini Baba yake alijenga nyumba nzuri y'a bati Alikuwa na mitumbwi na nyavu za kutosha Nasisitiza namfahamu na hayo ni majina yake halali
  10. B

    JamiiForums Tanzania Cyprian Majura Musiba ni nani na anatumwa na nani?

    Fundi25!kwanini awe marehemu?
  11. B

    JamiiForums Tanzania Cyprian Majura Musiba ni nani na anatumwa na nani?

    Umusolopogasi watu humu jf ni watulivu sana Tulia kijana Alikuwa mchezaji mzuri Sana wakati tukicheza mpira(sembo) Baadaye Kama sikosei alikwenda Kwan marehemu Kaka yake hukoTabora Naishia hapo usinitafute tena
  12. B

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Zambian former Vice President, Nevers Mumba sentenced to 3 months imprisonment

    Jamani mnisamehe Simpendi Nape Ni mnafiki kupitiliza Ngoja ale matapishi yake Mbwembwe zote mfukoni
  13. B

    JamiiForums Tanzania Cyprian Majura Musiba ni nani na anatumwa na nani?

    Mange Kimambi hamjui mtu huyu
  14. B

    JamiiForums Tanzania Cyprian Majura Musiba ni nani na anatumwa na nani?

    Majina ndo hayo Hajaiba jina la mtu Namfaham vizuri Ni kada mwaminifu wa ccm
Back
Top Bottom