Habari wakuu,
Aisee kila ninaempigia smu Tanzania simu hazipatikani , na si kwa whatsap call hapana ni kwa normal international minutes
Hivi ndo shida ni mtandao kuzimwa au ndo hakuna umeme simu zao wote hazina. Charge??
Dawa sasa ni ku deal na hao wateeule one by one...wataogopa snaa hawatarejea ilaa bila ivo kinachofataaaaaaaaa ni zaid ya maumivu
Hao wanaotudharau wote hawastahili kua hai tena
Kufungiaa mtandao pekee zaid ya. Siku 3 ni zaidi ya ukandamizaji
Hawa watu wanawazaje nani anawashaurii wafaanye haya
Mbona wanawaza. Kikatili sna
Wanajua wangap wanawavurugia mambo yao sabbu ya kukosa mtandao
Daah ila hii nchi hii.....wanatufanyia ushenzi huu sababu wana nguvu
Watuwashie mtanndao wengine tupate tu mawasiliano na familia zetu ziliopo nje. Ya. Nchi
Nipo kwenye group fulani zinatumwa video za wahanga zakuogopesha....kuna mmoja kapigwa risasi kavoboka sura
Watu wana. Videoo nying sema walipozima mtandao wamebinya sna taarifa
Habari wakuu ,
Poleni na maandamano yanayoendelea
Mimi ninataka kujua kua ni kweli kma watu wanavyopakaza mitandaoni kua hakuna ndege zinazoingia na kutoka tanzania kwa sasa ?
Maana kuna mtu anataka kujua ndo kaniomba nimuulizie
Shukrani sana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.