Recent content by BLUE DOG

  1. BLUE DOG

    GE2025 Kilosa - Morogoro: Wana-CCM wadaiwa kupata ajali wakiwa kwenye lori wakielekea kwenye mkutano wa Samia Suluhu

    Siku hizi wanausalama hata ukiwa na mgari mbove wewe weka tuu li bendera la chama chakavu una vuka vizuizi bila shida kwani unaonekan na wewe uko kwenye msafara wa mgombea
  2. BLUE DOG

    Angela Kiziga alichota bil 45+ peke yake bila kutoa mgao ?

    Ila TZ watu ni wapole sana kila mtu yuko na time yake, ingekuwa hapa kwa majirani washaenda choma nyumba na mjini tayari kimenukiswa
  3. BLUE DOG

    Angela Kiziga alichota bil 45+ peke yake bila kutoa mgao ?

    Alafu hilo mama lina onekana lina jivi la hatari
  4. BLUE DOG

    Huenda Polepole akaishi kwa kukosa amani bali kwa kujificha for fear of unknown maisha yake yote

    Kama wewe unavyojificha nyuma ya keyboard na ID yako feki, Huna uwezo hata wa 0.001% kushindana na Polepole au Ngwajima manake wale wanatoka hadharani na wanaongea vitu vya ukweli hadharani na wahusika taarifa zinawafikia na anataja watu kwa majina yao bila woga
  5. BLUE DOG

    Wakati Polepole anaendelea na destruction na character assassination, Anapaswa kuwepo mtu mwingine wa kuchochea uasi wa Umma (Civil disobedience)

    Mkuu uko sahihi, ila ili kutoleta mazara kwa raia hii vita ifanyike mitandaoni kabisa manake kinachatakiwa ni kuwaondoa wananchi kwenye zile fikra mgando na propaganda za kichawa Mitandao now days ina nguvu sana na ukizingatia kadri siku zinavyo enendelea kila familia iataenda kuwa na simu...
  6. BLUE DOG

    Ukimsikiliza Polepole, lazima utajiuliza Vyombo vya Ulinzi na Usalama katika nchi vinafanya nini?

    Kabisa, though ana mapungufu yake ila akifanya na watu walionyooka kama Lissu, kwa kweli haki itatawala na kila mtu ataipenda serikali Watu wapatie haki zao tuu, mengine yote yatakuja yenyewe pale ambapo haki inatawala, means watapata maendeleo vile hakuan kiaongozi atapatikana kwa nyia za rushwa
  7. BLUE DOG

    Ukimsikiliza Polepole, lazima utajiuliza Vyombo vya Ulinzi na Usalama katika nchi vinafanya nini?

    Huyu Bwana angetakiwa kuwa ndo Mkuu wa kile kitengo cha TISS kabisa, Yuko na uelewa wa kutosha wa kila mienendao ya kila alieko FISIEM na anaonekana anauelwa mkubwa kuliko hata wale ambao ni wakuu wa vyombo vya ulinzi na usalama
  8. BLUE DOG

    GE2025 Wasifu wa wagombea urais 2025

    Elimu za hapa na pale
  9. BLUE DOG

    GE2025 ACT Wazalendo Tawi la Mafifi Lamfuta Uanachama Monalisa Joseph Ndala

    Mwandishia wa hiyo barua si ange kunywa maji kidogo, naona wakatia anaiiandika alikuwa anatweta kwa hasira kiasi kwamba Bi Monalisa ataendele kuwa mwanachama hadi 28/10/2025
  10. BLUE DOG

    Abdul mtoto wa Rais ni mfanyabiashara wa muda mrefu swala la yeye kununua gari ni jambo dogo sana

    Haina shida lau tungepata TIN ya Bishara zake, tuta cross check na TRA vile vile na BRELA
  11. BLUE DOG

    Mali za mtoto wa Rais, Abdul Hassan zimeandikwa kwa Majina ya China Xiping yang Chan Tc Milestone Ltd. Kampuni ya Kichina iliyopo Tanzania

    imagine, wajumbe na wenyeviti wa fisiem wanagawia basikeli na vipkipi, ila mutota anawatimulia vumbia na li roizroiz la karibia milioni 500
  12. BLUE DOG

    Tangazo la wizara kuhusu uuzwaji wa viwanja AFCO Arusha na ubabaishaji uliotukuka

    Mie Ardhi ni Bora ununue kwa hizi real estate companies , hizo za hamashauri huwa wnatangaza ki formality tuu hakuna kitu vyote wanakumbatia wao ili waje kupiga baadae
Back
Top Bottom