Watu wa humu vigeu geu aki. Juzi hakimu huyu huyu alitoa hukumu ya life imprisonment mkamtukana leo kaibania serikali mnammwagia sifa. I hope siku moja mtamjua kuwa ni the most humble and thoughtful magistrate I've ever seen in my career. Ila ma state attorney Mungu anawaona khaah.
Sent using...
Loh. Naomba usimuingize dada wa watu katika hii thread, na u genius wako wote, akili yako imegotea hapo ktk kufanya research?! Nilikuwa sitaki kujibu comments yoyote ila imebidi nijibu hii ili kutoa doubts zozote kuwa mi sio huyo Ina.
Narudia tena, kama hauna qualifications nilizotaja, tulia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.