Recent content by blactrader

  1. B

    Nikosoe kama nimekosea kuhusu UTT Liquid acc

    Nadhani apa iko ivi, ukata wa fedha amaanisha hakuna fedha za settle transaction mfano wewe ukijaza form ya repurchase ukiwa unauza vipande ina maana unatakiwa upewe fedha yako ila unakuta hawana cash kwa muda huo ya kutosha kukamulisha huo muamala wako kwa sababu UTT hawakai na hela ya mtu na...
  2. B

    Wajanja wote wanatuchagua sisi Dennis Electronics

    Gas Hob 6134GE Hii plate ya umeme ni ceramic au induction?
  3. B

    Kusafirisha mzigo kutoka Mbeya & Kahama

    Shukran, kutoka mbeya ? Maana kuna mzigo mwingine ni wa mbeya
  4. B

    Kusafirisha mzigo kutoka Mbeya & Kahama

    Wakuu habari nahitaji msaada wa kujua gharama za kusafirisha mzigo kutoka mbeya kuja arusha (tani 14) na kahama kuja arusha(tani 10). Bidhaa ni mchele Kwa anaejua gharama naomba msaada
  5. B

    Biashara ya mpunga...

    Slowly mkuu naomba unisaidie mawasiliano yako nataka kuingia kwenye biashara ya mpunga ila uzoefu sina nahitaji mtu wakuniongoza
  6. B

    Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

    Huu uzi unaonekana umejaa wasomi sana alafu ni wasomi ambao bado wanakasumba ya kujiona wao ni bora kuliko wengine na wanastaili kuliko wengine jambo ambalo si kweli ata kama mtu ameishia darasa la saba anaweza akawa na IQ kubwa kuliko aliefika level ya degree kwasababu ata chuoni tuliona mengi...
Back
Top Bottom