Jeshi likihitaji litawatafuta tu katika wale waliofanya usaili ila hawakupata nafasi ya kwenda kwa sasa. So ni mpaka wao wakutafute sio wewe uwatafute.
Kaka Chief hapo juu amesema tutulie tu
Kwani wakat ukifika wakikamilisha taratibu zote za course kuanza watalitoa. PT wakitoa pdf huwa haipiti zaidi y wiki mnaenda kureport hivyo hawawez toa wakat mambo hayajakaa sawa.. hapa unakuw unajipa stress tu mwenyewe kuliwazia sana
Kama taasisi itahitaj proffesionals, huwez epuka kuchukua wa mujibu kwa kuwa ndio wamesoma, ila kwa nafasi zingine basi waliojitolea inatakiwa wawe priority kabisa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.