Recent content by blackforest

  1. B

    Eti wanawake weusi hawana mvuto?

    Kwa utafiti niliyofanya, nimegundua Wanaume wengi wanavutiwa zaidi na mwanamke weupe kuliko weusi. Unakuta wanawake wawili labda wanafanana features kama face shape, macho, figure lakini tofauti rangi, basi yule mweupe ndo anashobokewa kuliko mweusi. Wanaume nawashangaa, wako...
  2. B

    Mwanamke wa kisasa nimekutana na mwananaume asiye wa kisasa

    Nimerekebisha wakuu. Matatizo ya kiufundi, maelezo yanaonekana now.
  3. B

    Mwanamke wa kisasa nimekutana na mwananaume asiye wa kisasa

    Modern lady nimekutana na mwanaume wa pwani. Jamaniiiiii nisaidieni nitaachika. Tupo kwenye relationship kwa almost 3 years. Mwanzo ilikuwa mambo ya kwenda out na kuenjoy. Nikifikiria kwamba hana mambo ya pwani na wala hahitaji mwanamke wa design hiyo coz Siku zote alikuwa ananisifia Jinsi...
  4. B

    Mwanamke wa kisasa nimekutana na mwananaume asiye wa kisasa

    Modernlady nimekutana na mwanaume asiye modern. Jamani nisaidieni. Tupo kwenye relationship kwa almost 3 years. Mwanzo ilikuwa mambo ya kwenda out na kuenjoy. Nikifikiria kwamba hana mambo ya pwani na wala hahitaji mwanamke wa design hiyo coz Siku zote alikuwa ananisifia jinsi nilivyo mchapa...
Back
Top Bottom