Recent content by blackbeautie

  1. B

    Ajira Utumishi - Recruitment portal

    Hongera sanaa mkuuu..Kazi njema huko
  2. B

    Interview PPF

    Ukiona kimya pia ujue hukubahatika, kuna mtu kanitonya watu wanafanyiwa oral saiv (operation)
  3. B

    BVR Kit Operators na Waandishi Wasaidizi

    Msaada tafadhalini, wa ilala washafanya semina??
  4. B

    Tume ya Utumishi wa Mahakama yaita watu kwenye usaili Julai 13, 2015

    Kuna tarehe mbili za siku ya usaili, sasa inategemea umepangwa siku gani ya tarehe gani.usaili unafanyika chuo cha sheria kilichopo nyuma ya mawasiliano.
  5. B

    PPF wamenza kuita watu usaili wa Oral

    Bora ww chaka,mie nimerudisha karatasi lao kama lilivo, wameniweza hatari yale mamichoro ndo yalinichosha zaidi
  6. B

    Kazi ya kuandikisha BVR Ilala

    Kama hujafika njoo maana ndo tumeanza kufanya usaili.wale walochaguliwa kua bvr operator interview inafanyika chuo cha DIt
Back
Top Bottom