Recent content by blackandwhite

  1. B

    Lengo lenu nini mnao wakataz wake zenu kufanya kazi?

    Kitu hutakiwi kuogopa ni nn kitatokea baada ya kufa sbb huwezi kusema tena na kubwa kuliko yote hautudi tena eti ukute mali zimeisha au kaolewa tunaomwamini Mungu tunaamini kila mtu kapangiwa maisha yake tuache kuwawazia sana watu wengine
  2. B

    Nimeamua kutulia na mke wangu

    Shemeji ameangaika sana kupata mganga wa kweli hatimae kafanikiwa hongera zake
  3. B

    Kagera: Watuhumiwa tisa wa mauaji ya Asimwe Novart wafikishwa mahakamani na kusomewa shtaka la kuua kwa kukusudia

    Hivi kwa nchi hii masikini inayotakiwa kubana matumizi kuanza kuwapeleka watuhumiwa kwenye mahakama isiyokuwa na uwezo wa kusikiliza shauri hilo si ndo matumizi mabaya ya kodi zetu?
  4. B

    Africa: Tanzania yashika nafasi ya kwanza kwa nchi zenye watu wenye furaha zaidi

    Wanaangalia mashabiki wa yanga wanafikiria ndo watanzania wote
  5. B

    Maria Tsehai acha upotoshaji kusema Lissu hajalipwa stahiki zake ili achangiwe kununua V8, VXR nyingine

    Mtoq mada tunashukuru kwa taarifa ngoja tuanze kujiandaa mkeka ukiwekwa tu tuchote baraka kwa kuchanga kwa mtu aliyepitia mateso na tuendelee kuwaaibisha watesi wake
  6. B

    Baadhi ya hospitali binafsi zilizotangaza kutotoa huduma kwa wateja wa NHIF kuanzia 1/3/2024

    Nhif walisema wenye shule ipeleke package ya wanafunzi miamoja shule imefikisha watoto mia moja kuwapelekea wanakataa wanataka wenye shule wawalipie wanafunzi wote walionao shuleni na hawajatoa waraka kwa wananchi
  7. B

    Utabiri: Ni suala la muda tu kabla Mwigulu hajaondolewa katika nafasi yake kwa kubadilishwa wizara au kuondolewa kabisa katika Baraza la Mawaziri

    Hakuna kitu nimekishangaa kama tozo za mabenki walijua tozo zimeanza hawajatupa taarifa wakaacha tuendelee kutumia huduma alafu wakaja kukata tozo za miezi miwili kwa kuamua tu tena bila taarifa ni uhuni na wateja hatujui hata tozo ni kiasi gani waziri ubabe umezidi
  8. B

    Huyu Housegirl anafaa sana ila sitaki aendelee kufanya kazi hapa home. Mke wangu ni tufani

    Pole sana unamuondoa ili uone wife akiteseka sbb ndoa zilipofika kila mtu anamuombea mwenzake mabaya mnawazana huyu atakufa lini KWA TAARIFA YAKO UTAKUFA UTAMWACHA KILA MTU AMKUBALI ALIYENAE USIANGAIKE KUMBADILISHA SBB HAKUNA MTU ANABADILIKA CHA MUHIMU NI KUKAA NAE KWA AKILI NA KUMKUBALI UKIONA...
  9. B

    Tusipotoshane, ajira ina nafuu na uhakika zaidi kuliko kujiajiri

    Ukimuona mwajiriwa anakuwa tajiri ujue ni mwizi mla rushwa na fisadi
  10. B

    LATRA yatangaza bei mpya za mabasi, daladala

    Uku Geita Masumbwe bodaboda kwa safari moja wamepandisha kutoka 1000 kabla ya mafuta kupanda sasa hivi ni 2000 na asiyelipisha wanamfungia mnyororo na faini ya keti tatu za soda Serikali mngelitolea ufafanuzi na hili wananchi wanateseka kwa kutembea na miguu kilometa 10
  11. B

    Kuna Profesa mmoja ITV anaboa kwa kutetea kiswahili

    Unatukana uku januari unaenda unadaiwa ada kwa masister wapelekee kwenye kiswahili sada
  12. B

    Mjadala kwa wanaokataa Kuoa (Ndoa)

    Haya tumesikia weka na orodha ya wake za watu walio chuoni kwenu off compass na hukawai kuwaona na wanaume wengine ili tulinganishe kunguru na njiwa ni wangapi sbb hata hapa mjini maghorofani watu waneshindwa kuwafuga kunguru
  13. B

    January Makamba: TANESCO sasa wamesitisha miradi ya ujenzi wa maofisi na kuelekeza fedha kukarabati miundombinu ya Ugavi

    Umeme uwake uzalishaji uzidi serekali ipate mapato mitambo ikiharibika tutakuwa na hela tunanunua mipyaa
  14. B

    Machinga na wafanyabiashara wa Tanzania jifunzeni kufanya biashara mtandaoni, tumieni 'smartphones' zenu vizuri

    Unatoa ushauri kwa hawa machinga wetu ukituma hela ya mzigo na yy anaituma kwa mwajuma ndala ndefu wakutane kona bar bado sana
Back
Top Bottom