Hata contena zinazoingo
Hata idadi ya contena kuiingia nchini imepungua, hakuna utaratibu sahihi wa kulipishwa ushuru na malipo mengine! Wanafanya upliftment bila kujua hali ya kiuchumi ya Dunia. Bei za vitu vingi wimepungia duniani, nchi zinazo export wanauza bei za chini - huku kwetu...
Shida kubwa ambayo ipo, ni kwamba hawa viongozi wetu wanasema ifanyike hivi na vile, lakini hakuna ufuatiliaji hakiki ma baada ya miezi chache tuu - hali inarudi vile vile! Hii mambo ya muziki kwenye baa mida za usiku, ishawahi kukatazwa - lakini ni yale yale! Watch thos space, hao ombaomba...
Hapa kwetu, vitu vinavyozalishwa na viwanda vyetu ni ghali kuliko kuagiza kutoka njee ni kwa sababu hapa kwetu gharama za uzalishaji (umeme, bureaucracy, red tape n.k), inafanya tusisonge mbele, na inakuwa rahisi kuagiza kutoka nje
Kila mwaka tunakuwa na upungufu wa zaidi ya tani laki moja na elfu themanini, ndipo serikali inatoa vibali vya kuagiza sukari bila ushuru, na pia waagizaji wanapangiwa kuuza sukari hiyo kwa bei iliyopangwa na serikali.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.