Hakika tunapaswa Kuunga mkono jitihadi za UKUTA, ichi ni yetu sote na inaongozwa na Katiba ambayo ndo sheria mama. Haiwezekani mtu kutoa katiba ya kichwa chake na instructions za moyo wake et ziwe ndo Katiba yetu ya Tanzania na atulazimishe tuifuate.... Nitasema hapana, iwe mchana, usiku...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.