Recent content by black jeus

  1. black jeus

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Sijui kwanini nimeumia hivi

    Mind your own busness, lengo lako limeshatimia,umeokoa maisha ya malaika...
  2. black jeus

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wanawake wa Kiha hupenda wanaume wanaopenda kamseleleko

    Kwahiyo mnasimanga dada zetu na dada zetu
  3. black jeus

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nimekuja kugundua kumbe mwanamke niliyefanya nae mapenzi jana kumbe ni muathirika wa virusi vya ukimwi( V.V.U)

    Lodge per day 150,000,ndinga Prado TX,kwani humu mmelogwa?
  4. black jeus

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mlikaa muda gani baada ya kuoana kabla ya kupata mtoto?

    Nine yrs
  5. black jeus

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nini kilisababisha urafiki na Besti/ Mshkaji wako kufa?

    Nilitembea na mama yake,akajua urafiki ukafia hapo[emoji23]
  6. black jeus

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ushauri: Mke wangu anatembea na mfanyakazi mwenzie hadi kamzalisha

    Nonsense
  7. black jeus

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wanawake wengi siku hizi ni mashetani

    Point yako ni ipi?ushauri,taarifa au simulizi?
  8. black jeus

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Najuta kuoa mwanamke kutoka kanda ya ziwa, aisee najuta indeed!

    Ulikaa nae muda gani kabla hujamuoa?ulimuonyesha nin kama kishawishi cha yeye kukukubalia?,ulimpenda ukamuaproach au alijileta mwenyewe ?kiufupi hakuna ndoa rahis,be calm solve your own for yourself
  9. black jeus

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kwanini wanawake wengi wana wapenda wanaume wenye tabia hizi?

    Mtoa post ni ke au me?
  10. black jeus

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wanaume wa kaskazini waangaliwe upya wananyanyaswa sana na wanawake zao hakika

    Bila shaka hata wewe ni miongoni mwao,umefanya vema kujisemea
  11. black jeus

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Anaolewa tarehe 25 mwezi huu lakini ananipa mzigo kila ninapohitaji

    Kumbuka tu,muosha naye huoshwa,kama sio mkeo basi wanao
  12. black jeus

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Sina furaha kwenye ndoa yangu, nahisi nilikurupuka

    Uvivu,binafs nauchukulia kama ugonjwa,hivyo unaweza kupona,hilo ndilo jaribu lako,usimrudishe kwao,kaa nae chini,muelekeze,mke ndio mtu pekee unaandikiwa kuwa nae mpaka kufa,let you move together...sikupi pole kwa sabab yapo makubwa zaidi ya hayo kwenye ndoa lakin hawachukui maamzi hayo,it's too...
  13. black jeus

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mbinu gani mnatumia kumsahau mpenzi mlieachana?

    Mbinu pekee ya kumsahau ni kumuoa
  14. black jeus

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Binti yangu (miaka 24) anataka kuondoka nyumbani akapange

    Bado unaishi na mama yako?
  15. black jeus

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Binti yangu (miaka 24) anataka kuondoka nyumbani akapange

    Una uhakika unampa kila kitu?baba ana limit ya kumhudumia mwanae wa kike!si kila kitu
Back
Top Bottom