Uvivu,binafs nauchukulia kama ugonjwa,hivyo unaweza kupona,hilo ndilo jaribu lako,usimrudishe kwao,kaa nae chini,muelekeze,mke ndio mtu pekee unaandikiwa kuwa nae mpaka kufa,let you move together...sikupi pole kwa sabab yapo makubwa zaidi ya hayo kwenye ndoa lakin hawachukui maamzi hayo,it's too...