Recent content by Black fire

  1. Black fire

    Nina mtaji wa Milioni 4 natafuta banda/frame ya uwakala

    Humu ndan mnapenda kutishana tamaa balaa. Mm nmeanza uwakala na mtaji wa sh laki 8. Hapo nmeshapata line na nshalipa frem elfu 70. Sikuwa na uwakala wa benki. Ila sasa hv nafanya karibia benki 8. Sjawah kuongeza mtaji kwa kukopa. Mtaji ulioongezeka umetoka na commission nilizozipata. Ukifuata...
  2. Black fire

    Biashara ya uwakala wa simu na benki (M-Pesa, Airtel Money, Tigo Pesa, fahari huduma na NMB Wakala) unaweza kuanza kwa mtaji wa shilingi ngapi?

    Hazina tofauti sana na za simu japo za benki ziko chini kidogo. Uzuri wa benki wateja wengi wanatoa na kuweka hela ambayo inakupa commission nzuri. Maana yangu ni kwmb unaweza kupata wateja wengi wa benki wa kutuma na kutoa average nzuri kuliko simu
  3. Black fire

    Biashara ya uwakala wa simu na benki (M-Pesa, Airtel Money, Tigo Pesa, fahari huduma na NMB Wakala) unaweza kuanza kwa mtaji wa shilingi ngapi?

    Boss mtaji 20M upate commission ya sh 500k? Kuna tatzo mahali au huenda ndo kwnz umeingia kwenye game. Hyo 500k ilitakiwa ipatikane ktk line mojawapo ya unazofanyia dukan. Kwangu line zinazofanya vbaya ukitoa t-pesa ni halopesa na airtel money, ila nikijumlisha commission ya halopesa +airtel...
  4. Black fire

    Biashara ya Ushonaji Nguo (Tailoring)

    Uko sahihi kabsa. Mm nimewahi kufanya hii biashara na sikuwa na idea yoyote ya ufundi. Ila ni biashara iliyonipa mwanga na kiukweli inalipa. Ila changamoto zake ni km hzo. Km huna ujuzi wowote wa ufundi lazma uutane na tabu kubwa
  5. Black fire

    Biashara ya Ushonaji Nguo (Tailoring)

    Changamoto ya biashara hii ni mafundi. Ndo maana nikakushauri ni vzuri ukapata idea kidogo ya kushona. Unaweza ukawa na kazi za wateja na zinatakiwa kuchukuliwa leo mchana ila mpk saa nne fundi hajafka kazini. Hii kibiashara sio nzuri. Utakuta unazngua na wateja kwa sababu ya fundi. Changamoto...
  6. Black fire

    Biashara ya Ushonaji Nguo (Tailoring)

    Km ww sio fundi au huna idea ya ufundi hata kidogo achana na hyo biashara. Narudia km unataka kumtegemea fundi afanye hayo yote achana nayo vingnevyo utakufa kwa stress. La kufanya anza kujifunza ushonaji hata kwa miezi 6 hadi mwaka 1 tu uwe na ujuzi kidogo hapo angalau utaimudu. Biashara ya...
  7. Black fire

    Biashara ya uwakala wa simu na benki (M-Pesa, Airtel Money, Tigo Pesa, fahari huduma na NMB Wakala) unaweza kuanza kwa mtaji wa shilingi ngapi?

    Mimi hapa ndo nmesema. Sdhan km kwangu ni sahihi kukwambia ninachopata. Maadam naridhika nacho inatosha. Nmempa mtoa post mawazo sasa ni yy kukubaliana mayo au kuacha. Sio kila biashara utaiweza.
  8. Black fire

    Biashara ya uwakala wa simu na benki (M-Pesa, Airtel Money, Tigo Pesa, fahari huduma na NMB Wakala) unaweza kuanza kwa mtaji wa shilingi ngapi?

    Kupata line kuna njia mbili 1. Kununua kwa mtu 2. Kwa wakala mkuu 1. Kununua kwa mtu. Unaweza kununua kwa mtu line za uwakala endapo huyo mtu unafahamiana nae vzuri. Hii njia sio nzuri kwa sababu km aliyekuuzia sio muaminifu anaweza kuiswap line yako na ukapoteza pesa zako. Hata km ikitokea...
  9. Black fire

    Biashara ya uwakala wa simu na benki (M-Pesa, Airtel Money, Tigo Pesa, fahari huduma na NMB Wakala) unaweza kuanza kwa mtaji wa shilingi ngapi?

    Nmegundua kwamba watu wengi wapo ili kukatisha wengne tamaa. Sio kila biashara ulioshndwa ww kwmb haina faida. Na wengi wetu tunapenda kuponda biashara wakati hatujawahi kuifanya. Kila biashara ina changamoto zake kwahyo biashara ya wakala ina changamoto km biashara nyngne. Kuna watu...
  10. Black fire

    Nunua bidhaa kutoka Mataifa 15 ikiwemo USA, UK, UAE na China sasa

    https://www.ebay.co.uk/itm/Automatic-Bank-Note-Bill-Counter-Currency-Money-Pound-Euro-Cash-Count-Machine-UK/323994044101?_trkparms=aid%3D111001%26algo%3DREC.SEED%26ao%3D1%26asc%3D20180816085401%26meid%3D9de449f74c914327b84775ab52cc00f6%26pid%3D100970%26rk%3D1%26rkt%3D2%26mehot%3Dpp%26sd%3D3239940...
  11. Black fire

    Wana CCM tuache kumdanganya Rais wetu,ushindi safari hii ni wa moto

    Ndo maana mnaogopa tume huru. Utasikia kwa iliyopo ina tatzo gan!
  12. Black fire

    Usiwaamini sana Polisi hasa wakiwa doria usiku, baadhi yao "si wote" ni majambazi

    Miaka kadhaa nyuma baada ya kumaliza chuo hapa mjini nikiwa sina natafuta ajira, nilipata demu mmoja hv alikuwa anakaa Mbezi, mm kipindi hcho nakaa Kimara. Bas siku moja mida ya jion baada ya kutoka kazini akaniita tukutane pale Kimara daraja tupge story mbil tatu. Alitangulia kufika. Mm nafika...
Back
Top Bottom