Yeah nafaham kwamba inatakiwa after every certain time inabidi utafute ruti ndefu ili ijifute sasa sie wengine kupata muda wa kuitungua kila baada ya muda flani ndo changamoto ndomana nataka niitoe tu
Habari wana JamiiForums.
Nimejipiga piga hapa nikajikung'uta kila kitu nikanunua Mazda CX5 sasa nilikuwa naomba mwenye kujua garage nzuri yenye mafundi wa Mazda
Kutoa hela kwa rubani mstaafu roho imekuuma au sio.. nenda kamuulize hiyo hela ya kumtibia ruge kaitoa wapi na hata akiitoa serikalini kwani ruge si mtanzania
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.