Recent content by bjn01

  1. B

    Samsung galaxy S8 plus imegoma kuwaka

    imezima kbs hata charge haiingii ..... yaan n kama imekufa kbs
  2. B

    Samsung galaxy S8 plus imegoma kuwaka

    cm haiwaki charge iliisha ... so siwez kuingia tena .Bahati mbaya na cm sizijui kbs
  3. B

    Samsung galaxy S8 plus imegoma kuwaka

    ushauri wako kaka yangu. ..so inflash tu
  4. B

    Samsung galaxy S8 plus imegoma kuwaka

    habari ya asubuh. . ni hii hapa SM-G955U
  5. B

    Samsung galaxy S8 plus imegoma kuwaka

    nmejaribu kuku inbox lakin imenikatalia
  6. B

    Samsung galaxy S8 plus imegoma kuwaka

    naomba nikuangalizie kesho asubuh box la cm lipo ofisin,na mm nmeshatoka...hata hivyo nashukuru kwa msaada wako kaka yangu .
  7. B

    Samsung galaxy S8 plus imegoma kuwaka

    ndio ina box lake ila haina warranty.hiyo model naangalizia wap? cc:chif-mkwawa
  8. B

    Samsung galaxy S8 plus imegoma kuwaka

    Habari za asubuhi, Wakuu natumia Samsung galaxy S8 plus lakini Ijumaa ilipata tatizo ni baada ya kuizima jioni. Nilivyokuja kuiwasha ikawa inawaka alafu inaandika "installing system update" alafu inaleta maandishi madogo mengi then inajizima. Nimejaribu kwa fundi wa kwanza imeshindikana...
Back
Top Bottom