Habari za asubuhi,
Wakuu natumia Samsung galaxy S8 plus lakini Ijumaa ilipata tatizo ni baada ya kuizima jioni. Nilivyokuja kuiwasha ikawa inawaka alafu inaandika "installing system update" alafu inaleta maandishi madogo mengi then inajizima.
Nimejaribu kwa fundi wa kwanza imeshindikana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.