Recent content by bizzoman

  1. bizzoman

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Wakuu inachukua muda gani pesa kufika kwenye account ya M - pesa baada ya ku withdraw Sportbet
  2. bizzoman

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    'STAKE AT YOUR OWN RISK' Hii kauli ya kibabe sana... [emoji28] Vipigo vya kanji vimekuwa vingi sana tunaumia lakini hatusemi kwa 7bu tumeshaambiwa kwamba ni RISK OGOPAAA NI HATARIIIII! [emoji23][emoji23][emoji23]
  3. bizzoman

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Apande au asubiri mafuriko Daaaah [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
  4. bizzoman

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    BetPawa wanatoa Bonus kubwa kwa mechi zenye odd ya kuanzia 1.25 na kuendelea na kuhusu idadi ya mechi zisizidi mechi 60 Kama niko wrong watasahihisha wakuu wengine
  5. bizzoman

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Ni kweli user interface au mwonekano wa SportyBet sio rafiki sana kama BP Hata mimi mwanzo ilinipa shida sana lakini nikawa naifanyia mazoezi mdogo mdogo baada ya kuona hujuma za BP za kuchelewesha malipo na kupunguza Bonus Mazoea huwa yanajenga tabia! ukiizoea SportyBet utaipenda sana na...
  6. bizzoman

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    man city anadondsha mabehewa kama mia hivi
  7. bizzoman

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Jana kuna code ilitumwa humu ina odd 214 edited, nikaichukulia poa nika istake kwa sh 200, Daaah imeniuma sana coz leo nakuta imetiki na mtaji nilikuwa nao mkubwa tu! KWELI MAJUTO NI MJUKUU
  8. bizzoman

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Ukiiacha utajutaaaa 4F5733F - BetPawa
  9. bizzoman

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    BetPawa kuna shida gani coz nime withdraw pesa tangu asubuhi lakini mpka sasa pesa siioni kwa MPESA Mwenye taarifa na hii kitu anambie
  10. bizzoman

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Wakamaria wenzangu nawezaje kufuta bet history kwenye betpawa yangu maana LOST zimejaa sana mpka kero
  11. bizzoman

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    2E7C521 BetPawa ( Small Odd )
  12. bizzoman

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Huyu LISBON nayeye anataka kuleta pigo za kiwaki
  13. bizzoman

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Mitaji imeshikiliwa na maamuzi ya maniyuu
  14. bizzoman

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Hii MAN UTD ina shida gani aiseeee
Back
Top Bottom