Recent content by Bizney

  1. B

    Magari 20 ya kusafirisha mizigo Kongo yanahitajika haraka :

    Give me full details. 1. Type of container(size)- 40’ 2. Tonnage per container, - 11 tons 3. Date of loading,- today 4. Amount offered, - 7,700$ 5. Advance to be paid and - 50% Or 70% with fuel 6. Balance will be paid within how many days ? - 7 days from POD Free Demurrage - 45 days Sent...
  2. B

    Magari 20 ya kusafirisha mizigo Kongo yanahitajika haraka :

    Give me full details. 1. Type of container(size)- 40’ 2. Tonnage per container, - 11 tons 3. Date of loading,- today 4. Amount offered, - 7,700$ 5. Advance to be paid and - 50% Or 70% with fuel 6. Balance will be paid within how many days ? - 7 days from POD Free Demurrage - 45 days Sent...
  3. B

    Magari 20 ya kusafirisha mizigo Kongo yanahitajika haraka :

    40tf tunaweza kulipa Kwa 7,700$ Sent using Jamii Forums mobile app
  4. B

    Magari 20 ya kusafirisha mizigo Kongo yanahitajika haraka :

    Magari bado yanahitajika. Sent using Jamii Forums mobile app
  5. B

    Magari 20 ya kusafirisha mizigo Kongo yanahitajika haraka :

    ndg zangu bado tunahitaji magari
  6. B

    Toyota Harrier Inauzwa

    Ndg biashara haihitaji hasira wala panic, baki kwenye utulivu, kwani kuna mtu anaweza kukuuliza swali la maudhi, lengo ulijibu kwa misingi ya maudhi ili uonekane huna maana. Ni lazima ujue una deal na watu wa aina gani, ukweli ukisha weka no yako kwenye tangazo, kwa uzoefu wangu hapa jf wahitaji...
  7. B

    Magari 20 ya kusafirisha mizigo Kongo yanahitajika haraka :

    Ikiwa una magari tafadhali tuwasiliane. Sent using Jamii Forums mobile app
  8. B

    Magari 20 ya kusafirisha mizigo Kongo yanahitajika haraka :

    Ndg eneo mzigo unako kwenda ni Kongo Kolowezi, kwa maelezo zaidi piga 0713468920 Sent using Jamii Forums mobile app
  9. B

    Magari 20 ya kusafirisha mizigo Kongo yanahitajika haraka :

    Ndg ikiwa wewe ni mdau na una magari ya kusafirisha mizigo tafadhali tuwasiliane baada ya kukubaliana na bei elekezi. Tunalipa $7,700 lakini pia kuna hakika ya mzigo wa kurudi. Wasiliana nami 0713468920 Sent using Jamii Forums mobile app
  10. B

    Maeneo ya vituo vya mafuta yanahitajika katikati ya mji na nje ya mji.

    Mkoa wa Dar-es salaam kwanza, mikoa mingine itafuata.
  11. B

    Maeneo ya vituo vya mafuta yanahitajika katikati ya mji na nje ya mji.

    Tunahitaji maeneo muhimu kwa ajii ya kuuza mafuta, ikiwa eneo liko katikati ya mji litapewa kipaumbele, lakini pia maeneo ya nje ya mji kama yako vizuri nayo yataangaliwa. pia ikiwa unakituo cha mafuta unahitaji kukiuza tunahitaji. Hapa hakuna mambo ya budget, ni kwamba ukiwa unakitu kizuri...
  12. B

    Kiwanja kinauzwa Mtwara katikati ya mji 1022sqm hati iko mkononi.

    Mkuu leta hayo mafedha kiwanja bado kipo.
  13. B

    Kiwanja kinauzwa Mtwara katikati ya mji 1022sqm hati iko mkononi.

    wapendwa bado kiwanja kipo.
  14. B

    Pata generator kwa bei poa

    Pata mashine kwa bei poa.
  15. B

    Pata generator kwa bei poa

    Nimekupata Ndg, kwetu hatuna ila kuna mchina nitakuunganisha nae kazi yake ni kuagiza vitu kulingana na mahitaji ya watu. Mfano kuna aina nyingi ya mashine ambazo huwezi kuzikuta madukani, kama vile mashine za kusindika. Hivyo wewe una order mashine kulingana na hitaji lako.
Back
Top Bottom