Ha ha ha mbona hiii gar imekuuma sana mkuu,gar ni yangu nimeamua kuuza,sawa umesema ni mbovu nimekubali Bado ukasema chafu nikasema sawa Sasa umeona na mawe chini ya tairi duuh...
Picha haiuzi gar mkuu ni kuonesha tu hiyo gar ipo vipo ila kama mnunuaji basi atataka alione ili akague ndio maana Kuna namba za mawasiliano..na kumbuka Kuna wenye uhitaji huwa wananunua hayo magari yaliyopo gereji..
Nb:unanitoa kwenye mada ila ngoja nikujibu tu hapo sio garage ni sehemu ya kupak magar ambapo huwa naacha gar nikiwa kwenye ofsi ambayo ipo karibu na hiyo parking ya magari...mm sio dalali hivyo unaweza kuwa sahihi sijui marketing ila nilichopost kwa asilimia 100 ndio nachokiuza hizo mbwembwe nyingine siziwezi..
Sent using
Jamii Forums mobile app