Hujui kupiga wewe!
Hivi huo muda unawatazama wakirusha ngumi ama silaha mfano panga na wamelielekeza kichwani mwako unautoa wapi na saa ngapi? Wapo sita mmoja kashekulamba bisibisi ya mbavu hata, kama hawana mafunzo karatee zako haziwezi kukusaidia kuwapiga!
Isitoshe tu hata wanajeshi wenyewe...
Nenda ukajaribu kujinyonga sasa hivi ulete mrejesho, tena ikibidi funga safari hadi eneo alilojinyongea na uombe hiyo tai aliyoitumia, funga kwenye hilo hilo kenchi tuone hiyo tai itakavyochanika kabla hujafa ama ulete mrejesho!
Hiyo kesi ya Mbowe itaisha tu… hamna ishu pale!
Ila hao wahuni walipo wanajua wanaandaliwa nini!
Huyu mama anasimama, wenye stress za 2025 watanyooshwa!
Tulia wewe…!!!
Huyu Mama, hawatamuweza! Hao wenye hasira ndio tunawataka, waje na hasira zao kichwa kichwa waone!
Sisi tuko nae, tutanoa kucha zake sawa sawa ili atakayeingia mkenge araruliwe!
Jobo tutamnyoosha… kutuletea wale wabunge wa Covid19 asidhani tulimfurahia sisi wanaccm, ni vile mwenda zake alimkingia kifua ili yasikosekane yale mabilioni ya….
Sasa hivi mama yupo tayari kuyakosa!!
Imebidi sasa baada ya Rais wetu kutoka hadharani kuelezea yanayoendelea nyuma ya pazia, basi na sisi ambao tunamuunga mkono tusimama nae!
Hakika wote tunafahamu hakuna binadamu mkamilifu, na kwamba japo yapo ambayo yamekwishajitokeza (yalisababishwa na mijamaa flani ambayo tayari mafaili yao...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.