Hakuna mtoto anaetoka nyumbani na nia ya kwenda kufanya mapenzi, wengi wanalazimishwa na watu wazima, walimu n.k. sasa mtoto innocent kama huyo unamnyimaje fursa ya kusoma.
Takwimu hazitofautuani kabla ya utawala wake na sasa, sasa sijui hiyo fungulia mbwa inatoka wapi? Au anahisi ile kauli yake ya "zaeni watoto wengi elimu ni bure" inamsuta.
Hivi raisi anajua the term "second chance"? Unataka kuniambia katika maisha yake hajawahi kupewa second chance? Hii mimi nadhani busara itumike. Ujauzito sio kwamba ni mwisho wa ndoto za wasichana walio wengi wanaotaka kujiendeleza ki maisha. Wengi unakuta wanapewa mimba na walimu na watu...
Hahaha...having started with you on New Year's Eve 2014, i can safely say your venom is no longer life threatening. Sasa hivi ni mate ya kawaida. Unatema tu sisi tunajifuta. Endelea na riwaya zako for the new members who don't know you.
Kwa hiyo hawa wateja wetu wakubwa ikiwemo kampuni moja ya simu nao ni wajinga sio? Unajua mkuu ningekuheshimu kama ungejisomea na kukaa kimya. Mungu aendelee kukubariki.
Kwa kifupi ni kwamba tuna mkataba wa ku print folders zaidi ya 50,000 kila mwezi. Kwa gharama ndogo unaweza kuweka tangazo lako likaonekana na watu takribani 12,000 kila siku. Karibu
Do you want your product viewed by potentially 12,000 people everyday? Advertise with us for as as low as Tsh 800. contact us for more information. PM for information.
wakati tunaendelea kumchana Kagame na serikali yake, hebu tusome kidogo taarifa hiyo hapo chini. Katikati ya machafuko na hivyo vita mashariki mwa DRC, Kagame anendelea kufanya kazi zake zingine. Tujifunze haya mazuri kutoka kwake badala ya kumshambulia kwa tuhuma zisizo na msingi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.