ipo wazi kazi zilizofanywa na serikali..inayomaliza muda wake.zinajulikana..na muendelezo wako upo palepale...tumejipanga..kwa ajli ya mabadiliko bora chagua ccm kwa mabadiliko bora
ccm ni ile ile aondoke kingunge..siyo jambo chama .ni cha wanachama.midhali chama..bado kipo tutakilinda..natutazingatia katiba ya chama....ccm oyeee umoja.ni ushindi
Ni kweli usemayo ...watu wanataka mabadiliko lakin...ikiwa..umefanya upembuziii siyo ili mradi tu...tunaposema mabadiliko hakuna asiyependa mabadiliko...lakin mabadiliko yepi....na je huyu nnaemchagua atabadilisha...?na anaposema atabadilisha..je yanatoka moyoni?...tuangalie hili tena huku...
Unapo sikia sera za mgombea tafakari kwanza kabla hujachukua hatua yeyote..je..unayoyafikiri.yana ukweli...sasa ukaseme kuhusu mlo mmoja au miwili...au kitanda..kwa mama mjamzito...."nakuambia kuhusu hospital jana tumefungua kitengo maalum kwa ajili ya upasuji wa moyo..hatutopeleka tena...
Kuna uhuru wa kuongea hebu tumuache tumsikilize anasema nini juu ya hali hii inavyokwenda pia ni elimu kwetu...tukumbuke huyu ni askofu..amefundishwa.kukemea maovu..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.