Recent content by bitebomkali

  1. bitebomkali

    Hivi kweli kuna uwezekano wa Dr. Magufuli kukosa urais?

    Tumemkubali tumemwelewa tutamchagua kwa mabadiliko yaliyo bora chagua magufuli...ccm oyeeee..#umoja ni ushindi
  2. bitebomkali

    Ijue maana ya #HapaKaziTu

    Ahsante sana kwa ufafanuzi mzuri tumemwelewa tutamchagua..#umoja ni ushindi
  3. bitebomkali

    Face to Face with Uhuru Kenyatta: Azungumzia Uchaguzi wa Tanzania

    ipo wazi kazi zilizofanywa na serikali..inayomaliza muda wake.zinajulikana..na muendelezo wako upo palepale...tumejipanga..kwa ajli ya mabadiliko bora chagua ccm kwa mabadiliko bora
  4. bitebomkali

    NAPE: Kuondoka kwa Mzee Kingunge Chama kimepata ahueni

    ccm ni ile ile aondoke kingunge..siyo jambo chama .ni cha wanachama.midhali chama..bado kipo tutakilinda..natutazingatia katiba ya chama....ccm oyeee umoja.ni ushindi
  5. bitebomkali

    Hivi ni kweli Lowassa analipa kisasi?

    hayo ni maoni yake ..
  6. bitebomkali

    Kumbe mabadiliko wanayonadi UKAWA ni...

    Tena kwa hili la udhehebu na tukateee.aisitugawe...hafai kwenda ikulu....weka mbali na wapiga kuraaaa
  7. bitebomkali

    Ewe mtanzania usipoteze kura yako kumpa Lowassa

    Mabadiliko bora yapo ndani ya ccm na cyo bora mabadiliko...chagua ccm chagua magufuli umoja ni ushindi.....
  8. bitebomkali

    Ambacho CCM na watu wao hawajui

    Ni kweli usemayo ...watu wanataka mabadiliko lakin...ikiwa..umefanya upembuziii siyo ili mradi tu...tunaposema mabadiliko hakuna asiyependa mabadiliko...lakin mabadiliko yepi....na je huyu nnaemchagua atabadilisha...?na anaposema atabadilisha..je yanatoka moyoni?...tuangalie hili tena huku...
  9. bitebomkali

    Mama yangu ni CCM Lakini kwa hili ameshindwa kujizuia

    Unapo sikia sera za mgombea tafakari kwanza kabla hujachukua hatua yeyote..je..unayoyafikiri.yana ukweli...sasa ukaseme kuhusu mlo mmoja au miwili...au kitanda..kwa mama mjamzito...."nakuambia kuhusu hospital jana tumefungua kitengo maalum kwa ajili ya upasuji wa moyo..hatutopeleka tena...
  10. bitebomkali

    Askofu Gwajima kumjibu Dr. Slaa siku ya Jumanne - Septemba 8, 2015

    Kuna uhuru wa kuongea hebu tumuache tumsikilize anasema nini juu ya hali hii inavyokwenda pia ni elimu kwetu...tukumbuke huyu ni askofu..amefundishwa.kukemea maovu..
  11. bitebomkali

    Wakisema waendesha bodaboda sawa, ila hata kwa Wasomi? Tumepoteza matumaini

    Nyani haachi kupanda miti tafakari"...
  12. bitebomkali

    Morogoro: Magufuli - Elimu Bure kuanzia Msingi hadi Kidato cha Nne; Makamba awavaa Lowassa, Sumaye

    Ccm mbele kwa mbele tumejipanga mwaka huu wataisoma...umoja ni ushindi
  13. bitebomkali

    Mwigulu Nchemba Amzika Lowassa leo Mwembetogwa, Iringa Mjini

    Tunaposema ccm mbele kwa mbele tuna maanisha...umoja ni ushindi chagua ccm
Back
Top Bottom