MATUMIZI MABOVU YA OFISI NDANI YA HFADHI YA NGORONGORO
Mheshimiw Rais shikamoo. Napenda kukupa pole wewe na serikali yako yote kwa ujumla kwa majukumu mazito ya ujenzi wa Taifa letu. Mwenyezi Mungu aendelee kuwapa nguvu na hekima ili tuweze kufikia malengo tuliyojiwekea kama Taifa
Watanzania...
Mheshimiwa Rais, Makamu na Waziri Mkuu shikamooni. Poleni na majukumu magumu ya ujenzi wa Taifa letu la Tanzania.
Ninawatakia mwaka mpya mwema mkiwa na afya njema.
Watanzania wenzangu habari za leo na poleni na majukumu ya kupambana na maisha.
Katika kumalizia mwaka naomba leo naomba...
Rais shikamoo. Hongera sana kwa kazi nzuri ya ujenzi wa Taifa hili changa. Kwa kweli ndani miaka mine umeonyesha mabadiliko makubwa sana katika nchi yetu. Mwenyezi Mungu aendelee kukupa afya njema ili utimizie ahadi zako zote ulizoplan kuzikamilisha.
Pamoja na juhudi zako za dhati ila bado kuna...
Mheshimiwa Rais shikamoo,
Awali ya yote nikupongeze sana kwa kazi nzuri unayoifanya ya kulijenge Taifa letu. Hongera sana na Mwenyezi Mungu aendelee kukupa nguvu na ujasiri kulifikisha taifa hili kwenye nchi ya Kaanan.
Pamoja na juhudi kubwa unayoifanya ila bado kuna Watanzania wachache ambao...
Mheshimiwa Kigwangala habari ya leo.
Hongera sana kwa kuteuliwa kwako kushika wadhifa wa Waziri wa Maliasili na Utalii. For sure you deserve. Nimefarijika sana kwa Mheshimiwa Raisi kumtoa Mheshimiwa Maghembe maana alikuwa ni mzigo na mpigaji wa pesa za mwekezaji lolilondo na kuwaona wenyeji wa...
Mheshimiwa Raisi na Waziri Mkuu kwa moyo wa dhati napenda kuwapongeza kwa ujasiri mliokuwa nao wa kupambana na ufisadi uliokithiri katika nchi yetu ya Tanzania. Ninafahamu kwamba mko kwenye opersesheni tumbua majipu ila naomba sana mtembelee Hifadhi ya Ngorongoro maana na kwenyewe kuna majipu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.