Recent content by Bishweko

  1. Bishweko

    JamiiForums Tanzania uchambuzi wa press ya Fr. Kitima/TEC: Kiongozi anapo apishwa lazima tumtii. Hata kama alipindua serikali? Hata kama aliiba kura in a bright day light?

    KUNA UMUHIMU MKUBWA SANA WA WATU ASA UPANDE HUU WETU WAPINZANI TUJITAFAKARI KULIKO ATA HAO CCM ILI TUWEZE KUA KWENYE MSTARI SAHIHI KWA AFYA YA NCHI YETU. Munyame gge
  2. Bishweko

    JamiiForums Tanzania uchambuzi wa press ya Fr. Kitima/TEC: Kiongozi anapo apishwa lazima tumtii. Hata kama alipindua serikali? Hata kama aliiba kura in a bright day light?

    Daah unaongea jambo ambalo bila ulijui..Kuna kipengere kipi kwenye katiba kimeruhusu ilo? Hivi unajua mazingira ya kuleta watu wa nje kuongoza nchi yetu kweli? Kua serious basi
  3. Bishweko

    JamiiForums Tanzania uchambuzi wa press ya Fr. Kitima/TEC: Kiongozi anapo apishwa lazima tumtii. Hata kama alipindua serikali? Hata kama aliiba kura in a bright day light?

    Ndugu mstaafu wakati mwingine kuelewa iliyo kweli inahitaji utashi. Sasa mfano wewe umegoma kushiriki ushindani na mshindani wako amechukua kombe au ushindi huo alafu unaanza kulalamika kua ilo kombe kapewa bure. NAJUA UTAKUBALIANA NA MIMI KUA SIO WAKATI WOTE MAONI YETU NDIYO SAHIHI
  4. Bishweko

    JamiiForums Tanzania uchambuzi wa press ya Fr. Kitima/TEC: Kiongozi anapo apishwa lazima tumtii. Hata kama alipindua serikali? Hata kama aliiba kura in a bright day light?

    Ahsante kwa kunielewa lakini ili hakuna asiekua alijui sema basi kwakua mihemko ilitujaa basi tukafanya hivyo.
  5. Bishweko

    JamiiForums Tanzania uchambuzi wa press ya Fr. Kitima/TEC: Kiongozi anapo apishwa lazima tumtii. Hata kama alipindua serikali? Hata kama aliiba kura in a bright day light?

    Hapa naona nikupotosha umma na ili tunalifanya maksudi kwa faida ya nani? Yaani tunaongelea kushindwa kwa kupiga ramli.. Kinachotuponza we think we know it all ili sio sahihi kamwe. Aliesema tusishiriki uchaguzi alitukosea sana na kwabahati mbaya yeye alikua anautaka urais labda aliona kua awezi...
  6. Bishweko

    JamiiForums Tanzania uchambuzi wa press ya Fr. Kitima/TEC: Kiongozi anapo apishwa lazima tumtii. Hata kama alipindua serikali? Hata kama aliiba kura in a bright day light?

    HIVI KWANINI KANISA KATOLIKI LIMEJIKITA SANA KWENYE HARAKATI ZA KIDUA ASA KISIASA KULIKO IMANI NA UTUKUFU WA MUNGU? Wakati Askofu Kilaini akiwa Katibu wa TEC mbona kanisa lilisimama zaidi kwenye imani kuliko siasa au kwakua Padre Kitima tangu yupo mtoto alitamani sana kua mwanasiasa?
  7. Bishweko

    JamiiForums Tanzania uchambuzi wa press ya Fr. Kitima/TEC: Kiongozi anapo apishwa lazima tumtii. Hata kama alipindua serikali? Hata kama aliiba kura in a bright day light?

    Wakati asipokua madarakani nani atakua Rais wa nchi? Mimi nafikiri CHADEMA tulikosea kususia ushindani maana ilikua wazi kua CHADEMA tunaenda Ikulu.Tupunguze sana radical politics
  8. Bishweko

    JamiiForums Tanzania Leo hii ukiwa haupo duniani, unahisi ni nani atateseka kwa kutokuwepo kwako?

    Tubadili swali..ukifa nani utakua umemuachia maumivu?
  9. Bishweko

    JamiiForums Tanzania Msumari wa TEC: Mambo Muhimu Yaliyojiri Kwenye Mkutano wa Hivi Karibuni wa TEC (Agosti 2026)

    Safi sana ,hivi sisi tunaotaka wao waombe msamaha nk hamna sehemu tumekosea na sisi?
  10. Bishweko

    JamiiForums Tanzania CCM inaweza kutuambia nani aliwaua waliouawa Oktoba 29?

    Sawa kamanda..kusema ni polisi tu bila ata kutaja majina sioni kama inatusaidia kwakweli
  11. Bishweko

    JamiiForums Tanzania CCM inaweza kutuambia nani aliwaua waliouawa Oktoba 29?

    Ahsante,kwani sisi CHADEMA atujaweka ajenda ya Katiba Mpya kwenye ilani yetu?
  12. Bishweko

    JamiiForums Tanzania CCM inaweza kutuambia nani aliwaua waliouawa Oktoba 29?

    Makosa yanatazamwa na chama cha siasa kumbe?
  13. Bishweko

    JamiiForums Tanzania CCM inaweza kutuambia nani aliwaua waliouawa Oktoba 29?

    Mkuu kwani kutaja waliohusika na kuwaua ndugu zetu na fujo lazma watajwe na CCM tu?
  14. Bishweko

    JamiiForums Tanzania CCM inaweza kutuambia nani aliwaua waliouawa Oktoba 29?

    Mpaka leo najiuliza CHADEMA tumeshindwa nini kuwataja wauaji na waliosababisha maandamano haram
  15. Bishweko

    JamiiForums Tanzania Makamu wa Rais Dkt. Nchimbi amtembelea Dkt. Kikwete

    Ndiyo maana CHADEMA tunachukua nchi
Back
Top Bottom