KUNA UMUHIMU MKUBWA SANA WA WATU ASA UPANDE HUU WETU WAPINZANI TUJITAFAKARI KULIKO ATA HAO CCM ILI TUWEZE KUA KWENYE MSTARI SAHIHI KWA AFYA YA NCHI YETU. Munyame gge
Daah unaongea jambo ambalo bila ulijui..Kuna kipengere kipi kwenye katiba kimeruhusu ilo? Hivi unajua mazingira ya kuleta watu wa nje kuongoza nchi yetu kweli? Kua serious basi
Ndugu mstaafu wakati mwingine kuelewa iliyo kweli inahitaji utashi. Sasa mfano wewe umegoma kushiriki ushindani na mshindani wako amechukua kombe au ushindi huo alafu unaanza kulalamika kua ilo kombe kapewa bure. NAJUA UTAKUBALIANA NA MIMI KUA SIO WAKATI WOTE MAONI YETU NDIYO SAHIHI
Hapa naona nikupotosha umma na ili tunalifanya maksudi kwa faida ya nani? Yaani tunaongelea kushindwa kwa kupiga ramli.. Kinachotuponza we think we know it all ili sio sahihi kamwe. Aliesema tusishiriki uchaguzi alitukosea sana na kwabahati mbaya yeye alikua anautaka urais labda aliona kua awezi...
HIVI KWANINI KANISA KATOLIKI LIMEJIKITA SANA KWENYE HARAKATI ZA KIDUA ASA KISIASA KULIKO IMANI NA UTUKUFU WA MUNGU? Wakati Askofu Kilaini akiwa Katibu wa TEC mbona kanisa lilisimama zaidi kwenye imani kuliko siasa au kwakua Padre Kitima tangu yupo mtoto alitamani sana kua mwanasiasa?
Wakati asipokua madarakani nani atakua Rais wa nchi? Mimi nafikiri CHADEMA tulikosea kususia ushindani maana ilikua wazi kua CHADEMA tunaenda Ikulu.Tupunguze sana radical politics
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.