Recent content by Bishweko

  1. Bishweko

    Mlinzi wa Rais Samia aanguka ghafla wakati wa kampeni Mbalizi, Mbeya

    Asipofanya hivyo CHADEMA watamstukia
  2. Bishweko

    Swali chechefu: Sijawahi kumsikia Kadinali Rugambwa akitema cheche hata kiduchu tu. Kwani kuna shida?

    Huyu aliwai kusema mwenyewe kua wakati anasoma alitamani kua mwasiasa.. sasa ujui kua yeye anafanya siasa?
  3. Bishweko

    Swali chechefu: Sijawahi kumsikia Kadinali Rugambwa akitema cheche hata kiduchu tu. Kwani kuna shida?

    Hivi ni yule Pole Pole aliekua mwenezi wakati wa JPM?
  4. Bishweko

    Polepole: Membe alihusika kusuka mipango ya Rais [Magufuli] kuuawa

    Daah ,,huku kampeini zinaendelea na maandamano ya NRNE hamna mwisho mtu anakula kiapo na maisha yanaendelea
  5. Bishweko

    Kwa Mara ya Tatu na ya mwisho; Naiomba Serikali imuachie Tundu Lissu Kabla ya Septemba 7

    Hizi ni hisia kwanza..Mwenyewe alisema nafanya uhaini na nitafungwa... sasa si huyu anajua mpango mzima
  6. Bishweko

    Polepole sio mtu mwema ni muhuni sana

    Basi na hao wanaokosea ni wanadamu kama yeye alivyokua anakosea
  7. Bishweko

    Polepole sio mtu mwema ni muhuni sana

    Kwakweli atujui tunataka nini.huyu aliefanya figisu uchaguzi serikali za mitaa..kusema kweli upinzani ni aibu
  8. Bishweko

    Kwa Mara ya Tatu na ya mwisho; Naiomba Serikali imuachie Tundu Lissu Kabla ya Septemba 7

    Unataka kusema watanzania hao ambao wanasema sheria ifuate mkondo wake basi awana akili?
  9. Bishweko

    Swali chechefu: Sijawahi kumsikia Kadinali Rugambwa akitema cheche hata kiduchu tu. Kwani kuna shida?

    Mkuu Kardinali yupo busy na kazi za kimungu na kanisa. Mambo ya siasa za harakati kamwe awezi kuzishiriki kama mnavyotaka. Pia mbona unataka kufananisha Congo na Tanzania. Nani kaporwa haki zake?
Back
Top Bottom