Asante sana kwa historia hii muhim. Hakika uraia pacha ni jambo jema hasa kiuchumi jambo ambalo linawezesha mtu kuwekeza kwenye nchi husika kama raia bila kulazimishwa kupoteza uraia wa asili yake.
1. Nchi inatumia tani 40,000 kwa mwezi na waziri anasema ana stock ya 43,000 hivyo inatosha! kichekesho
2. Yeye ni muumin asingependa waislam wafunge na shida ya sukari! it means tunatafuta ufumbuzi wa sukari ajili ya mfungo na hatuangalii taifa limeteseka vp kipnd chote walivyoitoa sukari 1800...
Hivyo vyeo "nyeti" vinakusaidia nini kiimani? Na hao "mjahidina" ni Dini/dhehebu gani? Na wote ulowataja amabo inaonekana hawapati hivyo vyeo "nyeti" wamepoteza nini kiimani?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.