Hakuna kitu ambacho kipo complicated ni wewe ndiyo tatizo mpaka unaona kuna complications
Mithali 23:7
[7]Maana aonavyo nafsini mwake, ndivyo alivyo.
Akuambia, Haya, kula, kunywa;
Lakini moyo wake hauwi pamoja nawe.
Neno la Mungu liko wazi kabisa na haina lengo la kuwaficha watu wasielewe na ukilisoma tu ulalielewa lakini unatakiwa ujue neno la Mungu lina uhai na linaishi na limewekwa limfanye kazi kwa wale tu ambao wana kiu ya kumjua Mungu ..tofauti na hivyo vitabu vingine ulivyovitaja wewe ambavyo yeyote...
Mathayo 13:10-11,13
[10]Wakaja wanafunzi, wakamwambia, Kwa nini wasema nao kwa mifano?
[11]Akajibu, akawaambia, Ninyi mmejaliwa kuzijua siri za ufalme wa mbinguni, bali wao hawakujaliwa.
[13]Kwa sababu hii nasema nao kwa mifano; kwa kuwa wakitazama hawaoni, na wakisikia hawasikii, wala...
Dunia ina mengi ila tumepewa mamlaka ya kushinda lolote linalokuja kupitia Damu ya Yesu kwa njia ya Imani
1 Yohana 5:4
[4]Kwa maana kila kitu kilichozaliwa na Mungu huushinda ulimwengu; na huku ndiko kushinda kuushindako ulimwengu, hiyo imani yetu.
Kanuni ya kuishi Duniani mbona inajulikana...
Nimewahi kushuhudia kwa uchache sana ...lakini huwa ninaona hiyo mizimu inamsumbua mtu kama hajamjua Yesu vizuri na akaamua kumtafuta kwa bidii ila ukiijua nguvu iliyopo kwenye damu ya Yesu hiyo mizimu ni Upuuzi tu kama Upuuzi mwingine
Kuna mtoto unakuta anazaliwa akiwa kwenye mnyororo wa vifungo either alishatolewa kama Sadaka kwenye mizimu mfano ya mabibi na mababu zake au labda amezaliwa na dhambi ya asili ya ukoo, unakuta ukoo flani una ka mnyororo ka kutembea katika laana au vifungo kama asipopatikana mtu wa kuvunja hiyo...
Usiangalie hili kwa sababu kila mtu ana neema yake kuna mtu ana dhambi na mambo yake yanaenda na harogi hiyo ni neema ambayo Mungu alimuwekea tangu uumbaji na kuna wewe au mimi ambao tukifanya dhambi kidogo tu Mungu anatuacha ..
Kuna mwingine mambo yanaenda tu hata asipotumia nguvu na kuna...
Muombe Mungu toba halafu akusaidie kukuondolea uchungu ulio nao moyoni lakini pia Muombe akuunganishe na watu Sahihi na akupe neema ya kutulia katika Kanisa mmoja maana yako makanisa mengi sana lakini siyo yote yanayomuabudu Mungu wa kweli.. usipende kuingia kila kanisa na usipende kuwekewa...
Inawezekana namna unavyoomba neno la Mungu limesema kwenye kitabu cha Yakobo 4:3 Hata mwaomba hampati kwa sababu mwaomba vibaya ili mvitumie kwa tamaa zenu
Ni kweli unaomba lakini je unaomba vipi? Kuomba kwa sauti kubwa au kuomba masaa mengi haimanishi ndiyo ticket ya Mungu kukusikiliza na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.