Aliyeleta hii thread ndio mchochezi. Anataka kutuaminsha kuwa Serikali inabagua Kabila Lao. Anadhani Watu wote hawa jui tabia na mambo ya Kilimanjaro ktk kuimarisha ukabila, upendeleo, wizi, ukwepaji kodi n.k. Nawasifu maana wakikaa kupanga mambo yao hawabahatishi na hawaogopi. Ndio maana sasa...
Huyu mtu anacho sema Si uongo. Wanajiita John Stephen,Andrew Michael etc. wanafanikisha hata ktk ajira ndio wame acha kabisa majina ya Masawe, Shayo, Mushi.
Why ?
Wanadhani Watu wamesahau walivyokuwa wanaingizana kazini kikabila . Sehemu zote muhimu walijaa wao kiupendeleo una kuta ofisi ina...
Wavivu wa kufikiri na kuchukua hatua haraka za kujikwamua kiuchumi Mtabaki kulialia tuu na kudai haki msizozijua hapa JF. Tafuteni shughuli za kufanya deal ni zama za kale. Nenda na wakati fursa zipo mkiacha uvivu na kulialia kugawa kulalamika fanya kazi. Deal ni zama za kale.
Tangulia Kenya ukaishi Si ndio Nchi ya mfano bora Kwako nenda umekaribishwa. Jambo usilolijua sawa na usiku wa kiza. Niko vizuri nachapa kazi. Wababaishaji kama wewe mnajulikana kazi kulalamika lakini nikikuuliza what are your development plans for this week huna majibu kazi kulialia tuu ...
Mtanyooshwa tuu. Mlizoea kumtukana mkwere? Hii no nyingine. Mwachieni ajenge Nchi. Ndio kwanza ameanza kwa kunyoosha wezi, wala rushwa, walevi wa madaraka etc ka waeleze walio kutuma
Kuna miradi wa umeme Vijijini, kuna miradi mikubwa ya Maji kama huna huduma hizo basi wewe Si MTZ. Watanzania wa kipato cha chini watoto watasoma bure kuanzia shule za msingi, Bara bara zimejengwa Nchi nzima, reli iko Inajengwa ya kisasa miradi ya umeme mikubwa itatufanya tuu ze umeme hadi NJE...
Kenya is not stable politically, the country is not peaceful as you can hear a lot of alshabab attacks, the country is tribalistic, uchumi wao una favor matajiri wachache wenye umiliki wa ardhi karibu robo Tatu ya Nchi, mtu wa kawaida umiliki eka ya ardhi Nairobi ni ndoto, corruption NJE nje...
Sera yetu ya kutofungulia madirisha na milango kwa mbu, papasi, viroboto , chawa etc ndio hii inakufanya wewe uweze kumiliki ardhi ukiwa mtu wa kawaida sana ukishindwa kupata ajira unarudi shamba kufanya kilimo Biashara. Hiyo Kenya nusu ya ardhi inamilikiwa NA tajiri mmoja sasa hao wanaoitwa...
jamani bila Shaka makubaliano ya biashara ya dhahabu kati ya Barick Gold na Serikali ni mapinduzi makubwa ya kiuchumi katika dunia hii. Wenzetu wanamuona JPM as a hero hapa wachache kwa maslahi yao wanambeza . Kina Zitto na wenzake oneni aibu. Kama JPM asingedinda hata hizo mil300usd...
Mi nashangaa sana kusifia Nape kajenga chama. Kama nimesahau nisahihisheni. JK aliingia madarakani kwa ushindi wa zaidi ya asilimia 80 ya kura zote mwaka 2005. Huu ni ushindi wa Mkapa na Mangula kwa kuwa wao ndio waliokuwa viongozi wa CCM kipindi hicho. JPM ameingia madarakani kwa ushindi wa...
Ubongo wa watanzania umeota ukungu. Upeo wa kufikiri serious issues for the economic development of the nation and their families Ni mdogo. They don't have economic development strategies and priorities. Saa zote they think and engage in gossips that's all they want. Tell they to be creative and...
Aeshi a natafuta kick tuu. Watakuwa wametaniana huko ktk ugomvi wa madem sasa yeye anAshoka mike kutuaminisha kuwa Ni mtu muhimu sana duh?! Ama kweli hata Aeshi naye Atishwe kufa?
Ana Bahati Kesi ilianza enzi za business as usual. Vinginevyo Ilitakuwa uwe Kesi ya uhujumu uchumi. Anakaa jela. Miaka Sita na akihukumiwa miaka 6 angalau inakuwa 12 yrs. tutanyooka tuu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.