Sisi hayo hatuyataki kuyajua kabisa tunataka kujua yeye Waziri anaisaidiaje nchi kuhusu suala la kupanda kwa mafuta anajua amesababisha upandaji wa Huduma mbalimbali nchini.
Ni Jaji wa Mahakama Kuu ambaye anaenda kufanya finishing ya kesi ya Mbowe na wenzie.
Hakika Nimefurahi sana nchi hii inaongozwa kwa sheria, haki na usawa.
Hongera kwa Chadema mmepewa chaguo lenu huyo sasa tusisikie kelele haki ikitendeka na kusimamiwa na Jaji Siyani.
Tumaini la Watanzania wote na vyama vyote vya siasa lipo kwa mama yetu kipenzi, mama wa Taifa la Tanzania Rais Samia Suluhu Hassan [emoji3590][emoji91]
Wanawanyima haki yao wananchi katika maamuzi wamekuwa sio watetezi sahihi wa wananchi.
Naamini mwaka huu wananchi wanaenda kuwaweka pembeni kupata maendeleo.
2020 Wananchi wanaenda kuchagua maendeleo yanayosimamiwa na Chama cha Mapinduzi CCM
Weee Chagua CCM tunaenda kukamilisha hili jambo na tunaenda kupanda zaidi kiuchumi maana nguvu na nia tunazo zikisimamiwa na Chama cha Mapinduzi chini ya Jemedar Dkt Magufuli basi kila kitu kitakuwa sawaaa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.