Recent content by binti mwambeso

  1. binti mwambeso

    JamiiForums Tanzania Msaada: Mke wa mtu anataka kuhamia kwangu

    Mabinti na mashangazi wenzangu OGOPA MATAPELI,anaekupenda ni mmoja tu aliekuweka ndani ao wanaojileta baadae nimaajent wa kuua maisha yako na watoto wako kwakisingizio Cha mapenzi. Baada ya yooote awezi kuoa single mother.
  2. binti mwambeso

    JamiiForums Tanzania Tujifunze kitu kikubwa hapa

    Nimepata nguvu
  3. binti mwambeso

    JamiiForums Tanzania Daktari wa Saikolojia Radio One: Mwanamke akisaliti anakosa Amani na Anajishtukia ndani ya Siku 92

    Hivi uyo dr.na wewe mpendwa unawafahamu vizuri wanawake??nyie!!Omba Mungu akupe mke mwenyehofu yaMungu na huruma kwamume la sivyo atachepuka apoapo kitandani kwako nawala hutoona dalili.Labda angefafanua na umri wauyo mwanamke.Yani 28yrs nakuendelea ajistukie?
  4. binti mwambeso

    JamiiForums Tanzania Daktari wa Saikolojia Radio One: Mwanamke akisaliti anakosa Amani na Anajishtukia ndani ya Siku 92

    Heee!kumbe nilichoandika niutetezi?kama unafikilia apa najitetea basi endelea kutupilia mbali uteteziwangu uku ukingoja kuona dalili alizosema Dr.Na uwaonege wawenzio makahaba wanapoanza kujiongelesha kwawaume zao.
  5. binti mwambeso

    JamiiForums Tanzania Raila Odinga: Polisi wa Tanzania kama Ulaya. Adai wanaweza kusubiri umalize kazi zako ndio wakukamate

    Mhm! mmh!mmmmmh! Kitanda usicholalia hujui kunguni wake
  6. binti mwambeso

    JamiiForums Tanzania Mbeya: Mama amchana mtoto kichwani kwa kumpiga na kuni kisa kuiba Tsh. 1,000, Mtoto ashonwa nyuzi

    Mi nashangaa Sana Ata biblia imeruhusu mapigo
  7. binti mwambeso

    JamiiForums Tanzania Hakuna mkoa mzuri wa kuishi kama Mbeya hapa Tanzania

    Maskini Mbeya?kwamba hamna chakula?kupika hatujui chukuchuku kwamba mafuta hamna??karanga,mawese,ufuta na alizeti zoote izi!unataka kusema wazaramo ndo wanatuzidi kupika!?ahahahaaa ilawatu mnachuki binafsi
  8. binti mwambeso

    JamiiForums Tanzania Daktari wa Saikolojia Radio One: Mwanamke akisaliti anakosa Amani na Anajishtukia ndani ya Siku 92

    Alikosa chakuongea,labda angesema dharau zinazidi apo sawa,coz mwanamke hawezi kubalance shobo za upendo apo lazma kunammoja atamuweka moyoni mwingine atawekwa miguuni,ukute wamoyoni ndo hawala sasa!apo mume akiongea chochote anaonekana kama katuni tu,akitaka hakiyake yamsingi mpka apigane coz...
  9. binti mwambeso

    JamiiForums Tanzania Daktari wa Saikolojia Radio One: Mwanamke akisaliti anakosa Amani na Anajishtukia ndani ya Siku 92

    Iyo ni uongo!labda utafiti kafanya kwamkewe Tena uyomke nimsabato Hatujui wanawake uyo,mwanamke anajichekesha anapohisi au kuona pesa tu,iwe mume au hawara nipesa tu ndo inatutoa akili nakuanza kuongea mambo yakitoto tofauti na apo bigNO
  10. binti mwambeso

    JamiiForums Tanzania Tatizo la umeme Vingunguti Dar es Salaam, leo siku ya tatu umeme hakuna

    Home boy kabisaa,kwaJaile,Kweka,kiki,kayumbo nayulemzee trafic
  11. binti mwambeso

    JamiiForums Tanzania Nilikuwa Gumzo shule nzima baada ya kutumia hela ya ada

    Ahahahahaa jamani!
  12. binti mwambeso

    JamiiForums Tanzania Mambo ya kuzingatia ukifikia nyumbani kwa mtu

    Tukuyu,Yani sie hatuwachoki wageni Wala atuonagi kama wanakero. Mtu kaja hakai milele kwako mwache atambe akichoka ataondoka,Mungu katuumba namioyo miwili watu waTukuyu tunaishi ata nawalioshindikana nawala atujali
  13. binti mwambeso

    JamiiForums Tanzania Mambo ya kuzingatia ukifikia nyumbani kwa mtu

    Kumbe wakigomaaa!apo sawa. Ila watu wa Mbeya hii sio kwaajili yetu.Maana sie hatumchoki mgeni.
  14. binti mwambeso

    JamiiForums Tanzania Picha/Video: Madhara ya mvua iliyonyesha Dar es Salaam leo Machi 19

    Jamanii!Mungu awakumbe uko Nina bro wangu anaishi Moshi anasema mwaka wa pilihuu mvua hazieleweki
Back
Top Bottom