Mabinti na mashangazi wenzangu OGOPA MATAPELI,anaekupenda ni mmoja tu aliekuweka ndani ao wanaojileta baadae nimaajent wa kuua maisha yako na watoto wako kwakisingizio Cha mapenzi.
Baada ya yooote awezi kuoa single mother.
Iyo ni uongo!labda utafiti kafanya kwamkewe Tena uyomke nimsabato
Hatujui wanawake uyo,mwanamke anajichekesha anapohisi au kuona pesa tu,iwe mume au hawara nipesa tu ndo inatutoa akili nakuanza kuongea mambo yakitoto tofauti na apo bigNO
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.