Ninayo biashara ninacho kiwanja ila tu kwa sababu nimezaa na mtoto hana baba wanaona siwezi jisimamia na naogopa kuondoka kwa shari wao ndio ndugu zangu kwa shida na raha naweza leta kiburi yakinshinda ntaludi wapi?
Single mother umekua wimbo saizi, kesi zetu ni nyingi tunachekwa na kudiscussiwa sana but ndo ishatokea Maisha hayana rewind button.
Haya wajameni ushauli wenu ni muhim kwa single mother mim, Kwanza nimshukulu Mungu kwa yote despite Maisha ya usingle mother kua na changamoto namshukulu kwa...
Kuna wakati kipindi Cha huzuni kinakua kirefu kias kwamba hata ujaribu kua strong kuna mda u just can't take it anymore.
May the good Lord remember all the unhappy souls.
Japo alichoongea n kweli ingawa naona aibu mim kusoma, n kweli wapo wanaume wa ivo miaka Mingi imepita niliwai kua na mwanaume wa ivo.
Lakin usiombe n hatari na balaa, anaweza kukufanya uwe tasa, sisapot kupiga but hata io mhhhh hapana nayo ni hatari.
Kama atakupa ya hospital fyn but ata io nilioandika inaweza kusaidia but usijichue tena na kama una mwanamke tafuta anaekupenda na umueleze nipo kwa matibabu soon I'll be ok
Sawa mkuu ngoja niandike hapa naweletea tiba ambayo inatibu kwa utaratbu jaman sio busta kwamba ukinywa saiz kesho inafanya kazi no hii inaenda taratibu
Naweletea ua linaitwa periwinkle au kikwetu kwetu linaitwa star of jerusalem ntaatach picha ili muone msijali
So tatzo la upungufu wa nguvu...
Anha kuna post nililpost ya natural ways ya kutibu ilo tatzo naona sijui ndo admin aliidelete though ilikua inaeleza mengi unayoeleza apo psychological issues sijui pombe na mengine mengi japo ilikua post ya kiswahili au kupost umu inatakiwa iwe tiba ya hospital?
Kwa sababu nilishea bure coz...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.