Upendo ni zaid ya sex kwaiy kama mtu anaweza kuniacha sabb nmegoma swala la sex tayar huyo anakua sio mtu sahihi hata kama ngempa jua hawez shindwa kuja kuniacha kwa sabb nyngn yeyt yakijinga
Haya mambo ya mapenzi bhn hayana formula ni kumwachia mungu unaweza achana na huy alikuwekaa miaka miwili ukaenda kwa mwingn nae yale yale haya ya mapenzi yakuacha yajiendeshe tu
Sasa hata huy bint haon hali ya mtu wake akaongea na wazaz wake yan mpka anafkia hatua yakuuza vitu na mkopo juu Sasa kwnye hyo ndio wataanza kuish vip au ndio kaz yakulipa madeni tu vitu vingn vinahitaj akil kdog tu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.