Kifaru86
JF-Expert Member
- Apr 22, 2017
- 1,734
- 3,802
Jamani, hii ni kengele ya tahadhari kwa wapenzi mlio katika mahusiano zaidi ya miaka 2 mkiwa wachumba, kibongobongo uchumba sugu umeshaliza watu wengi.
Acha kujifariji unapedwa mara ohoo mahusiano yetu yamepitia Up and down my friend acha kujipa moyo ukishakaa katika mahusiano kuanzia miaka miwili anza kujitafakari ni wapi unapokwama ukizembea zembea ikoo siku mwana atakuwa sio wa kwako kwani mwisho wa uchumba sugu huvunjika pale mtu mmoja anapoona anapotezewa muda na mwingine anabadilisha gia angani kwa kuwa kampata bora zaidi yako.
Ushauli wangu ukiona upo katika uchumba au mahusiano kuanzia miaka miwili na mwenzio ramani unaona bado hazisomi anza kujitafakari.
Acha kujifariji unapedwa mara ohoo mahusiano yetu yamepitia Up and down my friend acha kujipa moyo ukishakaa katika mahusiano kuanzia miaka miwili anza kujitafakari ni wapi unapokwama ukizembea zembea ikoo siku mwana atakuwa sio wa kwako kwani mwisho wa uchumba sugu huvunjika pale mtu mmoja anapoona anapotezewa muda na mwingine anabadilisha gia angani kwa kuwa kampata bora zaidi yako.
Ushauli wangu ukiona upo katika uchumba au mahusiano kuanzia miaka miwili na mwenzio ramani unaona bado hazisomi anza kujitafakari.