Akili kibajaji hizi! Basi serikali ikishapiga marufuku ije na kwenye Bendera za Israel/ Saudiarabia kwenye biashara kadhaa....Ikitoka apo ije ipige na masanamu ya imani fulani kwenye majumba yetu maana nayo yanawakwaza watu wengine nk nk nk.... Biashara ni huru sehem X inakukwaza kwa huduma zao...
Manager alijiongeza sana....Kwanza anajua kwa hao mayahudi kukaribia ktk hiyo Hotel yake ni hatari kwa usalama wa mali yake na wateja wake wasiokua mayahudi.... Ijulikane kua mayahud popote pale duniani wanatafutwa ndo maana wengi wao wanatumia passport za nchi nyingine wanapoenda baadhi ya...
Yani waTZ mnaufinyu wa Ubongo....Hotel ni ya mtu kajenga kwa ela zake yani umpangie nini afanye kwenye biashara yake as if ni Hotel ya Serikali?.. Hivi kuandika "FREE PALESTINE" nalo ni tusi...Mbona tunajishusha akili zetu... Leo hii watoto wakipakestina zaidi ya 14,000 wameuliwa uko uyu mwenye...
Kwanza kwasasa hao mayahud ni majinga.... Sehem nyingi duniani wanapoenda wanajificha uraia wao hasa kwa kile kinachoendelea uko kwao...Nchi km France au Germany waisrael wanaficha uraia wao sembuse eneo km Zanzibar ambalo lina Waislamu wengi... Mie nisingeshangaa baada ya wao kujitanbulisha km...
Duh! kwan lile shambulizi walilofanya ni dogo? US mwenye ana kili kua km US,UK,France na Jordan wasingemsaidia kitoto chao basi lile shambulizi lingefanya uharibifu mkubwa na hivo viwanja vya majeshi yao ya ulinzi yangeharibiwa kabisa na ndege vita zote zingeka ni flying coffin! Km Ka drone tu...
Achana na mapicha ya wanawake unatutoa kwenye maana nzima kufatilia maendeleo ya Iran...
Made in Iran...
Watu wakifatilia apo watakutana na vitu vingi ambavyo walikua hawajui..
Mfano kwenye teknolojia ya Gas Turbine...
Simens from Germany
General motors from US
(Xxx) From Ukraine
Na nchi...
We Jamaa uelewa wako ni finyu...Mbona unaabisha Wakenya ivo.... Dunia Nzima imeona ni Nchi ngapi zilishiriki kuzuia makombora ya Iran..
Leo Jo Biden ktk Bunge la US anaomba lipitishe msaada wa dharura wa kuisaidia Israel na amesema km Israel atazidiwa ni dhahiri US ataingilia kati....Leo US na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.