Recent content by BINARY NO

  1. BINARY NO

    Tetesi: Polepole kufukuzwa CCM; nafasi yake kuchukuliwa na Mbowe

    Mvowe nafasi ambayo anaweza kuikubali ndani ya CCM labda awe PM kinyume na apo hana njaa ambayo inaweza mfanya achukue nafasi chini ya apo... Mbowe ni Tajiri tena Tajiri haswaaa
  2. BINARY NO

    Endapo reforms zote kubwa zinafanyika, Je Lissu awekwe meza moja na akina Nyerere kwenye historia?

    Tundu Antipass Lissu... Maiti inayotembea... Trust my words... Kupitia Lissu, Tanzania inaenda kuandikwa historia mpya ya mabadiriko ya kweli kwenye Reforms za ndani ya CCM, Ndani Ya Nchi na Katiba... Huyu ni mtu ambae kwa wanaomfahamu misimamo yake sio mtu wa kubadirishwa kirahisi kwa kile...
  3. BINARY NO

    Kama ni kweli ninayosikia basi nchi inaelekea kupona

    Tarehe 28 sio mbali....
  4. BINARY NO

    Israel yawashushia Kitu kizito Houthi wa Yemen

    Wayemen ni km WaTaliban! Ni watu ambao maisha au anasa za dunia kwao sio kitu! Hawa Houth walipambana na serikali ya Yemeni wakisaidiwa na Nchi za Kiarabu km Saudia,UAE,Baharain, Egypt uku msaada wa Kiingelegensia ukitoka US na US wakiweka Patriot air defence system Saudia na UAE uku wahouth...
  5. BINARY NO

    Dunia itakuwaje Trump atakapoapishwa kama Rais wa Marekani hapo mwakani?

    Naona LGBT wakianza kupumulia mashine... Trump na hawa mashoga ni vitu tofauti sana. Trump ni Mzee wa Sanctions lakini chini ya Sanctions zake dhidi ya Iran ndo Iran ilipojiongeza kinguvu zaidi! PM Benjamin Netanyahu anaomba Trump ashinde maana nchini Kwake Israel amekalia kuti kavu na wananchi...
  6. BINARY NO

    Maadhimisho ya Mei Mosi bila Matarajio Bora kwa wafanyakazi ni udhalilishaji kwa watumishi

    Itajulikana Mshahara wa July....Maana kuna wakati serikali inahofia kutangaza ili kuepusha kupanda kwa mfumuko wa Bei....
  7. BINARY NO

    Zanzibar: Watalii wanne kutoka Israeli watimuliwa Hotelini kwa kulalamika kuhusu gari kuandikwa "Free Palestine"

    So kwa ufinyu wako wa Medula neno "Free Palestine" ndo liwakwaze hao mashoga.... Kwanza wamecheleweshwa ilapaswa kua historia kwa sasa.....
  8. BINARY NO

    Zanzibar: Watalii wanne kutoka Israeli watimuliwa Hotelini kwa kulalamika kuhusu gari kuandikwa "Free Palestine"

    Akili kibajaji hizi! Basi serikali ikishapiga marufuku ije na kwenye Bendera za Israel/ Saudiarabia kwenye biashara kadhaa....Ikitoka apo ije ipige na masanamu ya imani fulani kwenye majumba yetu maana nayo yanawakwaza watu wengine nk nk nk.... Biashara ni huru sehem X inakukwaza kwa huduma zao...
  9. BINARY NO

    Zanzibar: Watalii wanne kutoka Israeli watimuliwa Hotelini kwa kulalamika kuhusu gari kuandikwa "Free Palestine"

    Yeye hataki biashara na mashoga! Na uyo manager anaweza kua Mpalestina sio lazima awe Mtanzania
  10. BINARY NO

    Zanzibar: Watalii wanne kutoka Israeli watimuliwa Hotelini kwa kulalamika kuhusu gari kuandikwa "Free Palestine"

    Manager alijiongeza sana....Kwanza anajua kwa hao mayahudi kukaribia ktk hiyo Hotel yake ni hatari kwa usalama wa mali yake na wateja wake wasiokua mayahudi.... Ijulikane kua mayahud popote pale duniani wanatafutwa ndo maana wengi wao wanatumia passport za nchi nyingine wanapoenda baadhi ya...
  11. BINARY NO

    Zanzibar: Watalii wanne kutoka Israeli watimuliwa Hotelini kwa kulalamika kuhusu gari kuandikwa "Free Palestine"

    Yani waTZ mnaufinyu wa Ubongo....Hotel ni ya mtu kajenga kwa ela zake yani umpangie nini afanye kwenye biashara yake as if ni Hotel ya Serikali?.. Hivi kuandika "FREE PALESTINE" nalo ni tusi...Mbona tunajishusha akili zetu... Leo hii watoto wakipakestina zaidi ya 14,000 wameuliwa uko uyu mwenye...
  12. BINARY NO

    Zanzibar: Watalii wanne kutoka Israeli watimuliwa Hotelini kwa kulalamika kuhusu gari kuandikwa "Free Palestine"

    Kwanza kwasasa hao mayahud ni majinga.... Sehem nyingi duniani wanapoenda wanajificha uraia wao hasa kwa kile kinachoendelea uko kwao...Nchi km France au Germany waisrael wanaficha uraia wao sembuse eneo km Zanzibar ambalo lina Waislamu wengi... Mie nisingeshangaa baada ya wao kujitanbulisha km...
  13. BINARY NO

    Israel yajibu mashambulizi dhidi ya Iran. Yashambulia Iran, Syria na Iraq

    Duh! kwan lile shambulizi walilofanya ni dogo? US mwenye ana kili kua km US,UK,France na Jordan wasingemsaidia kitoto chao basi lile shambulizi lingefanya uharibifu mkubwa na hivo viwanja vya majeshi yao ya ulinzi yangeharibiwa kabisa na ndege vita zote zingeka ni flying coffin! Km Ka drone tu...
  14. BINARY NO

    Israel yajibu mashambulizi dhidi ya Iran. Yashambulia Iran, Syria na Iraq

    Tulitegemea ivi... Ngoja turudie ya Iran jinsi ilivokua
  15. BINARY NO

    Israel yajibu mashambulizi dhidi ya Iran. Yashambulia Iran, Syria na Iraq

    Aibu naona mimi! Tunaomba ata kavideo tu tuone hizo missile zilizo break airdefence system za Iran na kulipua maeneo ya Iran....
Back
Top Bottom