Recent content by binam wetu

  1. binam wetu

    CHADEMA Makambako huu ni upigaji, hili jengo haliwezi kugharimu Tsh Milioni 80. Kwanini mnaonesha tabia za kipigaji zinazotuchafua?

    Nimelazimika kuja hapa baada ya kuona huo upotoshwaji hiyo ni story ya uwongo Lengo ni kuchafua chama tu tutatolea ufafanuzi lkn pia picha hiyo inayo sambaa nikakipande ka veranda ya nyuma
  2. binam wetu

    Mwanamke subiri uvuliwe, usivue mwenyewe

    Chupi zingine wao wenyewe wanazionea aibu chup kubwa km ya nand pia wengine usafi kwao ni f
  3. binam wetu

    TRA Makambako wanaonea sana wafanyabiashara

    Kumekua na uonevu mkubwa sana pamoja na mazingira ya rushwa kubwa sana kwa maofisa wa tra makambako mkoa wa njombe.kwanza ukienda kukadiriwa unapigwa bei kubwa ambayo hailipiki nia yao uwatafute nje na ofisi wakutoe kitu kidogo Pia wengine wana watu wanaowatumia rasmi kukusanya hela ya rushwa ...
  4. binam wetu

    TRA kumchunguza Askofu Kakobe baada ya kumsikia akisema ana hela kuliko Serikali

    Mtukufu haguswi Tra achen ujinga mpaka mtu ajitangaze,ndio mmfuate
  5. binam wetu

    Ally Bananga: Mwanasiasa Anajengwa na Watu, Sitashiriki Mjadala wa Star Tv

    Kila mjadala lazima uwe na level flan sasa msando sio kiongozi wa kisiasa bananga nikiongo wapi na wapi Huyo msandu atafutiwe watu wasio na vyeo km yeye
  6. binam wetu

    Naomba kufundishwa namna ya Kutongoza Mwanamke

    Fanya mazoez ya kuongea kwenye kioo kwasasa halafu kama unapiga punyeto achana nayo haraka
  7. binam wetu

    Diwani wa kata ya Muriet aliyejiuzulu apewa vitisho!

    Wamchome moto yeye gari atanunua ingine mjinga sana huyo Sent from my SM-N900 using JamiiForums mobile app
  8. binam wetu

    TRA waifungia Sahara Media(Star TV, RFA) kwa kudaiwa Kodi ya Sh. Bilioni 4.5

    Kodi mpaka inafika 4b hujalipa hili nalo lijiz kama majiz mengine Sent from my SM-N900 using JamiiForums mobile app
Back
Top Bottom