Recent content by Binaiso

  1. Binaiso

    JamiiForums Tanzania Wenye kuhitaji memorundum, kusajili kampuni, kufungua kampuni na company profile.

    Hakuna atakayekupigia simu kwa hayo maelezo yako, labda awe chiziii but kwa uelewa wangu ww ni kishoka na kuna vitu huvijui ndiyo maana watu wanauliza mambo ya msingi unashindwa kuwajibu..
  2. Binaiso

    JamiiForums Tanzania Utabiri wangu: Rais 2025 Tanzania ni mwanamke

    Labda useme ni Majaliwa
  3. Binaiso

    JamiiForums Tanzania Sub woofer na external vinauzwa

    Kwa atakayekuwa na subwoofer aina ya geepers toleo la zamaniiii,, hazitumii remote,, zilikuwa zinauzwa elfu 80 ila atakayekuwa nayo nampa 100,000/= aniambie hata sasa hivi pls.
  4. Binaiso

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kanitafutia kazi sasa nimekuwa mtumwa wa ngono

    Endelea na kazi ila mgomee asiwe anakugonga labda kama na ww unapenda hiyo hali,, kwani anakufunga kamba?? Si unaridhia mwenyewe??
Back
Top Bottom