Recent content by bin saidy

  1. bin saidy

    Wanaume acheni tabia ya kusema tunatoa harufu sehemu za siri, baadhi yenu mna shahawa zenye harufu kali

    Uchafu ni tabia ya mtu awe Ke awe Me ukiwa mchafu utaitwa mchafu mbona wanawake wanaonukia wapo kwann ww unuke
  2. bin saidy

    Wanaume acheni tabia ya kusema tunatoa harufu sehemu za siri, baadhi yenu mna shahawa zenye harufu kali

    Wala hatukomi mukomi nyie kila kitu tunawafanyia kazi yako kujisafisha bado unashindwa wote wenye tabia kama yako munastahili kutumbuliwa teh! teh! teh!.........
  3. bin saidy

    Tambua wakati mzuri wa kutafuta mwanamke wa maisha!

    Kweli,lakini usihukumu hivo kama umempenda mpende.sisi sio samaki akioza mmoja tumeoza wote wengine tumejaaliwa kujali na kuthamini fadhila zenu
  4. bin saidy

    Wanaume wa kuoa wameshaisha waliobakia ni makinikia

    Naamini ukitoka utatamani kurudi tena,kuwa makini wengi waliotoka hutamani kurudi lakini wachache kati yao hufanikiwa "Kazi mbaya ukiwa nayo"
  5. bin saidy

    Wanaume mnajua kwanini tunakubaliwa?

    Hongera sana bibie,ila nna ombi moja kwako
  6. bin saidy

    Wanawake mnazingua sana

    We si ME au KE?
  7. bin saidy

    Missed calls 13 ni sababu tosha ya kuachana naye, Muasherati Mkubwa

    Hata kama ukimkuta chumbani utupu amekumbatiwa Aiseeeeeeeeeeeeeee
Back
Top Bottom