Recent content by Bin said M

  1. Bin said M

    Tahadhari Kubwa kwa watu wote

    chadema wabinafsi tu hamna lolote na ubaguzi wenu kwenden zenu na siasa za kibaguz
  2. Bin said M

    Sio Mnyika wala Tundu Lissu kapinga tuhuma za kutaka kutonywa

    mbona tuhuma za Zitto dhidi ya chadema hazijibik wakina tundu lisu wameng'ang'ana waraka, waraka ambao umeandaliwa na wajumbe wa kamat kuu halaf wakauvujisha ili kumbambikiza Zitto, Mbona mambo yapo waz jaman walioandaa waraka ni wajumbe wa kamat kuu na wamekili zitto hausik ila nyny mmemganda...
  3. Bin said M

    Mnyika & Lissu kuwa "Nyigu" kwene issue ya Zitto, Ni uzalendo au ni "Parakatatumba" za Mbowe na Slaa

    Nyie wabaguzi tu hamna lolote lile linaloeleweka kaa fresh tushawasoma na ubaguzi wenu wa kidin
  4. Bin said M

    Salamu toka Arusha na Manyara kuhusu Zitto.

    ha! ha! ha! chadema wabaguzi sana zito hausiki na waraka na wala sio msaliti kama angekuwa msaliti chama asingelifikisha hapa lilipo hao wanaomuona zito msalit ndio waliokaribishwa na zito ktk chama nyie mna yenu waraka umeandaliwa na wajumbe wa kamat kuu halaf mnambambikiza Zito hamna lolote nyie
Back
Top Bottom