Mkuu Joka Kuu,
haya masuala ya muungano yana siri nyingi kuliko watu wanavojuwa, hayo niliyoyandika ni ukweli mtupu, lakini ikiwa wewe unahisi kama yana maana sawa.
kwa ufupi mimi binafsi sifurahii muungano na tanganyika, nahisi kuna agenda za siri zaidi kuliko ukweli unavosemwa, ukitizama...
Mr Ghibuu,
Kwanza ninaomba samahani kwa kujibu hiki kiimeli chako cha muda mrefu uliopita, lakini nikizingatia upuuzi uliouweka imenibidi nikujibu haya
1. Tanganyika inaitegemea zanzibar katika maeneo ya Bahari, ikiwa hujui bahari yote ya tanzania ni ya mali zanzibar, ikiwa unakumbukumbu ya...
mtukuyu
mkuu ivo tuseme ndio hujui wamba sheria ya tanganyika inakataza kuujadili uungano ndani ya vyama vya siasa
tukifanya maandamano tanganyika itaumaliza, kwasababu kila katika chaguzi za nyuma wakiletea znz majeshi kutoka msumbiji kuhakikisha kwamba hatufanyi maandano na hatidai haki...
Jokakuu
Mkuu
kwa mtazamo wangu mimi, CUF = CCM = NCCR = CDM = to all Kwa muono huo mimi sijawahi kupiga kura na sitopiga kura katika umri wangu wote ...kura ya tz is not more thn waste of time , kwasababu tunapokuwa katika mabaraza fulani fulani na watu wengine wananimbia jnsi wanavoziiba...
Jokakuu
Unadhani hiyo hoja ya kuuvunja muungano imekufa, kwa sisi waznzanzibari hata kukiwa naserikali 3 maana yake ni kwamba muungano kama tuujuwavo leo umekufa
znz tutatoka vipi na muungano kma ulivo ssasa hivi....as soon as ccm ikikubali kushindwa znz, basi tayari tutang'atuka, kwa sasa as...
hakuna mzanziabri anayechukia mtanganyika
tunachukia siasa za tanganyika, hususan wakitulamisha katik abaadhi ya mamabo fulani fulani.
ukweli ni kwamba kwa muda huu CCM ni aduwi wa kwanza wa znz na wazanziabri .
anaomba na anasaidiwa sanaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa, hayo mengine hayatiwi magazetini tu, katika safari yake ya Oman alisaidiwa ile mbaya, lakini ya waarabu hayasemwi tanganyika
Gombesugu
Kwanza kabisa ndugu nitakuomba samahani sana lakini inaonekana you are full of maporojo ya mitaani kama wewe kweli ni mtu uliyesoma na mwenye akili usingeweza kuleta upumbavu kama huo haumu, i therefore conclude that you dont really know how world affairs are running the show of daily...
Mkuu mbona unapapara sana, uchochezi uko wapi hapo
nakuomba ufikiri kwa kina zaidi utagunduwa kwamba wewe huna taifa lako na kwahivo ndio maana huna uraia wa taifa lako
uraia wako a tz ni wa kubandikizwa tu along the way.....ni kama tu wale waliokwenda UK kule wakawa refugees wakapata...
mimi nafikiri mwamtumwa mahiza naibu waziru wa elimu awamu ya kwanza ya jk, pale wizara ya elimu kaondosha ukabila kule, yaani kuna sehemu huko zilikuwa zimetawaliwa na kabila moja tu
nakubaliana na wewe mkuu robert josephat
lakini nchi iwe kama ifuatavo
JINA : ZANZIBAR
CAPITAL CITY: ZANZIBAR TOWN
AGREEMENT: MUST BE 100 YEARS
MINISTERS: 50/50 TANGANYIKA/ZANZIBAR
F. EMBASSIES: MUST BE IN ZANZIBAR
ALL GOVERNMENTAL INSTITUTIONS: HQ IN ZANZIBAR
CENTRAL...
duchi
Yes, U are right Indeed, kwamba tunatarajia kupata manufaa kutoka kwa nchi za kiarabu.
and what is your problem sisi tukiwa hizbu?
tumekaa na nyinyi watanganyika kwa miaka 50, hatukupata zaidi ya umasikini na ufukara
Ni heri kuwategemea waarbu wenye mali ili tuweze kuinuka...
Wana JF
Roho inauma na mawzo kichwa tele, kuna mawingu ya giza na kujawa na magharibi ya moyo, ni hunzuni na masikitisho makubwa kuona binadamu anadhalilishwa kisaikolojia ndani ya nchi yake
leo taifa zima la Tanganyika limefanywa refugee katika nchi yao bila kujijuwa, hili linaleta ni aibu...
Andrew Nyerere
Mwinyi hakuwa raisi wa tanganyika, alikuwa raisi wa tz, ni tatizo lenu kuwa hamuna nchi yenu kwahivo hamuna raisi wenu
kwa ufupi mtanganyika hawezi kuwa raisi au waziri znz, na mznz hawezi kuwa raisi au waziri tanganyika siku mutakayoifufuwa nchi yenu
leo nyinyi watanganyika...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.